Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

[emoji975]Mwanzoni ilitwa vimafua vya Kichina, aka wala popo na mbwa[emoji122]
[emoji975]Mara paap ikatinga kwa Wazungu, wakadakwa!
[emoji975]Ngozi nyeusi ikadai mafua ya kizungu
[emoji975]Mara paap ikatinga Afrika
[emoji975]Meko na bAShitE wakadai tusitishane, [emoji975]kAKoLonA watu wachape kazi
[emoji975]Mara paap imetinga bungeni
[emoji975]Sasa ni mwendo wa kuvaa vIbARaKoA kufunga biashara na wagonjwa wenu wanarejeshwa na M7...... shwain zenu[emoji2][emoji122]
Corona ni ugonjwa wa kawaida Mkuu, sema Wazungu wame overreact na sisi temepokea hivyo Hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa maelezo ya mbunge huyo ni kwamba alisafiri kwenda Dar es Salaam siku za karibuni, na aliporejea Bungeni siku ya Jumatano alianza kujisikia dalili kama zilizotangazwa na wataalamu kuhusu Virusi vya Corona na baadaye alithibitishwa kupata maambukizi ya Corona
Dar- siyo- saalama
 
hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake.
Ugonjwa na kifo, kwa mtu mwenye akili, siyo kitu cha aibu. Mtu yeyote kuwa mzima au mwenye afya njema, hawezi kujisifu kuwa ni kwa sababu ni mwerevu au mwema sana.

Serikali imefanya kosa kubwa sana kupeleka taswira kwa wananchi kuwa ugonjwa huu au kifo kinachotokana na ugonjwa, ni kama aibu ya aina fulani. Sielewi kwa nini kumejengwa mazingira ya namna hii.
 
Papaa Mobimba,
Bungeni wanafanya nini tena kwetu wakati janga la Corona linafukuta?

Waondoe huko tuipige vita mikusanyiko kwa vitendo na kauli moja.
 
Jambo la kujiuliza na linalohitaji hatua za kuchukua, mbunge huyu hakuwahi kuingia Bungeni? Kama aliwahi kuingia Bungeni, wabunge wataruhusiwa waendelee kuchangamana na watu wengine au tayari wapo karantini?
 
Mungu awafanyie wepesi wazidi kufanya mambo kwa uwazi katika hili janga la Kidunia.
 
Back
Top Bottom