Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

Naibu Spika Tulia Ackson athibitisha Mbunge mmoja kupata maambukizi ya COVID-19

Papaa Mobimba,
Ingekuwa vema kwa maoni yangu dar iwekwe chini ya uangalizi wa karibu na watu wasitoke wala kuingia hapo angalau kwa siku 14 tu.
 
Dar kama Italy vile [emoji23] ukienda unarudi na Corona

Sent From Galaxy S9
 
Hivi ummy mwalimu kauchukua ushauri wa mwigulu??
Siku ya tatu leo hamna taarifa mpya za wagonjwa wa corona.
Tunapata taarifa tuu za wagonjwa VIP.

Ndugu Pascal Mayalla wakati ukiendelea kumtafuta slow slow, hakikisha ukikutana nae unampa hints za crisis management
 
Tuliambiwa tusitishane, haka kakorona tu! Tuchape kazi
Ugonjwa na kifo, kwa mtu mwenye akili, siyo kitu cha aibu. Mtu yeyote kuwa mzima au mwenye afya njema, hawezi kujisifu kuwa ni kwa sababu ni mwerevu au mwema sana.

Serikali imefanya kosa kubwa sana kupeleka taswira kwa wananchi kuwa ugonjwa huu au kifo kinachotokana na ugonjwa, ni kama aibu ya aina fulani. Sielewi kwa nini kumejengwa mazingira ya namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawaombea wabunge wa Chadema Mungu awalinde. Maana akifa mmoja tuu kati yao ambao wamegoma kuunga juhudi za mauaji ni hasara kubwa sana kwa taifa.
In God we trust.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure...........
Most recent hotubu za Lema, Mbowe Sugu ndio hotuba za taifa kwa mustakabali wa nchi hao wengine hawana faida yoyote kwa taifa
 
Kama aliingia Bungeni tutarajie Wabunge wote kuwekwa Karantini Mara moja na eneo la Bunge lizungushiwe Utepe asiruhusiwe mtu kutoka nje aingie mule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ni msumeno.

Baada ya mbunge mmoja kuthibitika ana maambukizi ya Covid 19 utaratibu utakaofuatwa ni upi?

Nchini Botswana mhudumu mmoja wa bunge alithibitika kuwa na maambukizi ya Covid 19 na serikali ya nchi hiyo iliamua kuwaweka katika Karantini ya siku 14 Spika, wabunge wote na wafanyakazi wa bunge.

Je, Tanzania itawezekana tukizingatia kuwa mawaziri ni wabunge, Waziri mkuu ni mbunge na Mwanasheria mkuu ni mbunge pia?

Majibu Tafadhali!
 
Hiv hatuna maambukizi mapya ..au ndo inakuaje yani
 
Back
Top Bottom