Wapo wanakusanya posho ya mwishomwisho.....zis iz afurika....... mwingine kajichimbia hataki kugusana na watz ila yy anasema mchape kazi
Kazi kweli kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wanakusanya posho ya mwishomwisho.....zis iz afurika....... mwingine kajichimbia hataki kugusana na watz ila yy anasema mchape kazi
Thubutuuuu. Kwa Bunge hili hili la Ndugai?Kama aliingia Bungeni tutarajie Wabunge wote kuwekwa Karantini Mara moja na eneo LA Bunge lizungushiwe Utepe asiruhusiwe mtu kutoka nje aingie mule
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eee....Kazi kweli kweli.
Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Wanatajwa watu wa maana e.g Waziri mkuu wa Uingereza itakuwa huyo.
Wanatajwa watu wa maana e.g Waziri mkuu wa Uingereza itakuwa huyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa wa kambi pinzani asingepoteza muda wake kutangazaOhoooo....!
Hajazungumzia jinsia na kambi yake?
Safi sn malipo ni hapa hapaPolepole alisema Wapinzani ni corona , naona Wapinzani wameanza kuwashughulikia ...
Upinzani shikeni hapo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal mayalla, sema Magufuli oyee?!Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Atakwambia mbunge ni mtumishi anaefanya kazi chini yake.Hivi anaruhusiwa kutoa taarifa za corona! Mbona rais hakumtaja kwenye ile list?
Angekuwa waupinzani wangemtaja jina