mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Ndugu wenzetu nje wanatangaza jina na cheo kwamba amekutwa na COVID 19 hivi Sheria za nchi hii Ni tofauti na wenzetu?Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wenzetu nje wanatangaza jina na cheo kwamba amekutwa na COVID 19 hivi Sheria za nchi hii Ni tofauti na wenzetu?Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Wamarekani kuna siku hapo walikufa zaidi ya 6000 kwa siku, bro its 6000 peoples, sio kuku ni watu, Magu alisema ni upepo tu unapita, sasa anasema tumwombe mungu siku 3, watoto hawaendi shule na wana vyuo wapo nyumbani, ajira watu wanapoteza, uchumi wa dunia una dorora, dar es salaam sasa ni lazima kuwa na mask, usiseme ni kawaida.Corona ni ugonjwa wa kawaida Mkuu, sema Wazungu wame overreact na sisi temepokea hivyo Hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaugonjwa tu kanakosaje adabu..!??Duh...!.
Hii Corona haina adabu kabisa!.
P
Sheria ya kutosema ukweli kwa Tanzania tu DunianiNdugu wenzetu nje wanatangaza jina na cheo kwamba amekutwa na COVID 19 hivi Sheria za nchi hii Ni tofauti na wenzetu?
Wabunge wakiwa Dodoma kuwadhibiti ni kazi ngumu wanazurula sana kwenye nyama chomaWabunge wote wawekwe quarantine
Kweli bwana hata Boris alipopelekwa ICU umma ulijulishwa na siku alipotoka ICU wakajulishwa. Lakini wenzetu...Wamtaje Jina tu,mbona wenzetu ulaya Boris Johnson aliugua corona akajitangaza pamoja na mataibabu aliyokua akiyapata. Tuna usiri wa kipuuzi sana Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoooo....!
Hajazungumzia jinsia na kambi yake?
Angekuwa wa upinzani wangemtaja kama walivyomtaja mtoto wa Mbowe.Hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake.
Ingekuwa Bashite angemtaja ili kuwakinga wengine kama alivyowaokoa wakazi wa daa.Hahaaaa unyanyasaji upi mkuu. Any way hakuna haja ya kumtaja mgonjwa hadharani bila ridhaa yake.
Nafikiri ulichokusudia kuandika ni kula sio kura. Na akifa je hizo kura atapigiwa wapi ??
Hata UKIMWI haujawahi kutufanya tuache kutongoza.Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.
namkumbuka miaka ya 90 Mwinyi alisema ukimwi umekaa pabaya,sasa covid-19 sijui imekaajeHili janga sijui tunalikwepaje jamani.
Inasikitisha
Sasa michepuko yao ilizoea kula bata sasa inatumia vifurushi vya wanafunzicorona kizaazaa..
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Haina haja kuogopa. Corona ni kagonjwa kadogo sana. Haina haja kupaniki, tuendelee kuchapa kazi tu. Uchumi wetu ni mzuri na by the way kuna nchi 8 zinategemea nchi yetu kwa bidhaa zao.