Naibu Spika Zungu: Bodaboda wanakatisha tamaa, wasimamishwe

Naibu Spika Zungu: Bodaboda wanakatisha tamaa, wasimamishwe

Tatizo siasa za hovyo zimeiharibu hii nchi.

Zungu ameongea ukweli hawa vijana wa boda boda ni tatizo kubwa sana mabarabarani wanatakiwa kudhibitiwa kwa sheria kali mno ili waheshimu sheria za barabarani.
Mkuu ITR,

Umenena vyema sana...
Tatizo linaanzia katika ni nani atasimamia hizo sheria?

Embu angalia mifano mingi, Mimi nikiwa nakuja kariakoo kazini kama nimekosa treni basi ni bodaboda au bajaji.

trafiki wanakamata halafu vijana wanatoa pesa na wanawaacha na tayari walishafahamu udhaifu wa Askari wa barabarani upo wapi.

unakuta kijana anasema hao hawasumbui ukimpa buku5 anashida.

Ni nani atasimamia hizo sheria kwa Hawa Polisi wa barabarani wenye vitambi vimejaa pesa za kuomba?
 
Bodaboda imeshakuwa ajira rasmi bongo hii
Ikisimamishwa kilio kitakuwa kwa wengi sio kwa hao madereva peke yao
Hawana ubavu wa kusimamisha kazi hii, kwa population iliyopo na ukosefu wa ajira rasmi huwezi kuwasimamisha bodaboda, sana sana wasimamie sheria kikamilifu, kitu ambacho pia hawawezi. Askari wa barabarani ndio wa kwanza kuchakua 1,000 na 2,000 za hao jamaa na imekuwa kitu cha kawaida sana.
 
Mkuu ITR,

Umenena vyema sana...
Tatizo linaanzia katika ni nani atasimamia hizo sheria?

Embu angalia mifano mingi, Mimi nikiwa nakuja kariakoo kazini kama nimekosa treni basi ni bodaboda au bajaji.

trafiki wanakamata halafu vijana wanatoa pesa na wanawaacha na tayari walishafahamu udhaifu wa Askari wa barabarani upo wapi.

unakuta kijana anasema hao hawasumbui ukimpa buku5 anashida.

Ni nani atasimamia hizo sheria kwa Hawa Polisi wa barabarani wenye vitambi vimejaa pesa za kuomba?

Tatizo ndio hilo. Hili jambo watalichukulia tu kisiasa wakiwa na matazamio ya kura ifikapo October 2025.

Boda boda sasa hivi zipo nyingi tu mjini tena kiholela hawana helmet wala nini, wanachomeka tu sehemu yoyote wao hawajui traffic lights, pedestrian walkways wala nini.

Kwa hali hii Ajali zitaongezeka tu kiasi kwamba watu watakuwa hata hawashtuki ukisema mtu kapoteza maisha kwa boda boda.
 
Hawana ubavu wa kusimamisha kazi hii, kwa population iliyopo na ukosefu wa ajira rasmi huwezi kuwasimamisha bodaboda, sana sana wasimamie sheria kikamilifu, kitu ambacho pia hawawezi. Askari wa barabarani ndio wa kwanza kuchakua 1,000 na 2,000 za hao jamaa na imekuwa kitu cha kawaida sana.
Hizi pikipiki kwa haraka haraka zinapatia kipato
-madereva
-mafundi
-mawakala wa kuagiza hizo pikipiki
-mawakala wa kuagiza vipuri
-wauzaji wadogo wadogo wa vipuri............
 
Mkuu ITR,

Umenena vyema sana...
Tatizo linaanzia katika ni nani atasimamia hizo sheria?

Embu angalia mifano mingi, Mimi nikiwa nakuja kariakoo kazini kama nimekosa treni basi ni bodaboda au bajaji.

trafiki wanakamata halafu vijana wanatoa pesa na wanawaacha na tayari walishafahamu udhaifu wa Askari wa barabarani upo wapi.

unakuta kijana anasema hao hawasumbui ukimpa buku5 anashida.

Ni nani atasimamia hizo sheria kwa Hawa Polisi wa barabarani wenye vitambi vimejaa pesa za kuomba?
Hawa bodaboda kama polisi wameshindwa kuwadhibiti basi sisi raia tunatakiwa kuwadhibiti ,bodaboda akisababisha ajali ya kizembe apewe kipigo cha haja labda wataogopa.

Sasa hivi watu tunatembea mijini roho zikiwa juujuu kwa sababu ya hawa bodaboda.
 
"Suala la bodaboda ni kero kubwa sana na hasa katika utumiaji wa sheria za barabara, mimi ni mtetetezi mkubwa sana wa bodaboda lakini matumizi yao kwenye barabara yanakatisha tamaa lazima muwe na mkakati maalum wa kudhibiti ajali wanazozifanya na lazima muwe na sheria kali za kuwadhibiti na hata kuwasimamisha, sababu ukienda MOI sasa hivi asilimia 90 ni vijana," - Mussa Azan Zungu

View attachment 2894963

Credit-EastAfricaTv

Ni boda boda sio Maafisa usafirishaji tena??
 
Hizi pikipiki kwa haraka haraka zinapatia kipato
-madereva
-mafundi
-mawakala wa kuagiza hizo pikipiki
-mawakala wa kuagiza vipuri
-wauzaji wadogo wadogo wa vipuri............
Mkuu raraa,

kuondoka au kusimamisha pikipiki ni jambo ambalo haliwezekani kwa namna yoyote ile.

Hapo inaonyesha ni jinsi gani serikali ilivyo mbovu katika kusimamia sheria.

Wanetanguliza rushwa mbele, na rushwa hutengeneza upofu na kushindwa kuelewa ni wapi pakusimama.

Kusimamisha bodaboda, tutegemee panya road wakutosha, wavuta bangi wa kutosha, mauaji ya kutosha.hata baadhi ya biashara hasa zinazohusika na spea za pikipiki kudorora.

Zitengenezwe sheria kali za kudhibiti vijana,kama pale airport mataa ni hatari sana, na unakuta bodaboda anapita na trafiki anamuangalia tu.

shida ni hii hapa “nani atasimamia hizo sheria kwenye nchi hii ambayo neno kila mtu anakula kwa Urefu wa kamba yake limetawala?

Polisi wa barabarani wanaenda mpaka machimbo ya mchanga kukamata malori na kuwatishia kuwafungulia kesi hawana vibali!

matrafki hawa ambao wanashindana kujenga majumba kwa pesa za dhuruma nani wakusimama kupunguza vijana hawa wanavyopoteza maisha na wengine ulemavu?

Kama zikitengenezwa sheria kali za kukamata pikipiki na faini kali Hakika tatizo litapungua kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kuendelea kupokea elfu 5 za vijana na wakiwaacha wafanye wanayofanya.
 
Bodaboda si ndo mtaji wenu na kule Mwanza wamempa mama zawadi ya ng'ombe.......imekuwaje tena?
 
Mkuu raraa,

kuondoka au kusimamisha pikipiki ni jambo ambalo haliwezekani kwa namna yoyote ile.

Hapo inaonyesha ni jinsi gani serikali ilivyo mbovu katika kusimamia sheria.

Wanetanguliza rushwa mbele, na rushwa hutengeneza upofu na kushindwa kuelewa ni wapi pakusimama.

Kusimamisha bodaboda, tutegemee panya road wakutosha, wavuta bangi wa kutosha, mauaji ya kutosha.hata baadhi ya biashara hasa zinazohusika na spea za pikipiki kudorora.

Zitengenezwe sheria kali za kudhibiti vijana,kama pale airport mataa ni hatari sana, na unakuta bodaboda anapita na trafiki anamuangalia tu.

shida ni hii hapa “nani atasimamia hizo sheria kwenye nchi hii ambayo neno kila mtu anakula kwa Urefu wa kamba yake limetawala?

Polisi wa barabarani wanaenda mpaka machimbo ya mchanga kukamata malori na kuwatishia kuwafungulia kesi hawana vibali!

matrafki hawa ambao wanashindana kujenga majumba kwa pesa za dhuruma nani wakusimama kupunguza vijana hawa wanavyopoteza maisha na wengine ulemavu?

Kama zikitengenezwa sheria kali za kukamata pikipiki na faini kali Hakika tatizo litapungua kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kuendelea kupokea elfu 5 za vijana na wakiwaacha wafanye wanayofanya.
Ukiachana na watu kupoteza biashara zao suala la usalama ndio linatisha zaidi
Maana naamini kuna watu baadhi walikuwa vibaka majambazi lakn kupitia fursa hii ya boda hizo mishe wameacha na kwa walivyo wengi wakirudia fani zao hali itatisha
 
Wiki jana nilikuwa Arusha,.. nikiwa kwa jamaa yangu ghafla tukasikia ukunga kwenye nyumba ya jirani yake, kuulliza kulikoni, tukaambiwa kijana wao(boda) amepasuana na boda mwenzake kwenye kona(sehemu yenyewe ni nje kabisa ya mji)..dogo kafia pale pale mwenzake yuko hoi hosipitalini anatetea uhai wake.

Hakika serikali ichukue hatua za makusudi kabisa, vinginevyo hawa madogo wataendelea kupukutika.
 
Mkuu raraa,

kuondoka au kusimamisha pikipiki ni jambo ambalo haliwezekani kwa namna yoyote ile.

Hapo inaonyesha ni jinsi gani serikali ilivyo mbovu katika kusimamia sheria.

Wanetanguliza rushwa mbele, na rushwa hutengeneza upofu na kushindwa kuelewa ni wapi pakusimama.

Kusimamisha bodaboda, tutegemee panya road wakutosha, wavuta bangi wa kutosha, mauaji ya kutosha.hata baadhi ya biashara hasa zinazohusika na spea za pikipiki kudorora.

Zitengenezwe sheria kali za kudhibiti vijana,kama pale airport mataa ni hatari sana, na unakuta bodaboda anapita na trafiki anamuangalia tu.

shida ni hii hapa “nani atasimamia hizo sheria kwenye nchi hii ambayo neno kila mtu anakula kwa Urefu wa kamba yake limetawala?

Polisi wa barabarani wanaenda mpaka machimbo ya mchanga kukamata malori na kuwatishia kuwafungulia kesi hawana vibali!

matrafki hawa ambao wanashindana kujenga majumba kwa pesa za dhuruma nani wakusimama kupunguza vijana hawa wanavyopoteza maisha na wengine ulemavu?

Kama zikitengenezwa sheria kali za kukamata pikipiki na faini kali Hakika tatizo litapungua kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kuendelea kupokea elfu 5 za vijana na wakiwaacha wafanye wanayofanya.
Biashara ya bodaboda ingekuwa restricted kwenye maeneo ya pembezoni mwa majiji na miji mikubwa na labda kuruhusiwa kwenye miji midogo. Kuruhusu bodaboda na bajaji katikati ya jiji kama Dar ni matumizi duni ya ubongo.

Sheria kuhusu uendeshaji wa shughuli za bodaboda na bajaji zinatakiwa ziwekwe na kusimamiwa na mamlaka za miji husika kutoakana na mazingira na mahitaji yao tofauti tofauti.​
 
Back
Top Bottom