BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Atatukuta kwenye uchaguzi karume pale tumpopoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuelewa Lakin mazingira ya usafiri wa bodaboda ndo unafanya I've ngumu kwa askari kuweza kupambana nao tofauti na gari,mfano hapo mataa ya airport umemsimamisha bodabodq amepitiliza unamkamata vipi?? Ili umkimbize na ww itabidi uv7nje sheria uchukue pkpk nyingine uende kasi zaidi yake! Na kwq mazingira ya sasa ya dar utakimbizana na bodaboda ngp??Mkuu raraa,
kuondoka au kusimamisha pikipiki ni jambo ambalo haliwezekani kwa namna yoyote ile.
Hapo inaonyesha ni jinsi gani serikali ilivyo mbovu katika kusimamia sheria.
Wanetanguliza rushwa mbele, na rushwa hutengeneza upofu na kushindwa kuelewa ni wapi pakusimama.
Kusimamisha bodaboda, tutegemee panya road wakutosha, wavuta bangi wa kutosha, mauaji ya kutosha.hata baadhi ya biashara hasa zinazohusika na spea za pikipiki kudorora.
Zitengenezwe sheria kali za kudhibiti vijana,kama pale airport mataa ni hatari sana, na unakuta bodaboda anapita na trafiki anamuangalia tu.
shida ni hii hapa “nani atasimamia hizo sheria kwenye nchi hii ambayo neno kila mtu anakula kwa Urefu wa kamba yake limetawala?
Polisi wa barabarani wanaenda mpaka machimbo ya mchanga kukamata malori na kuwatishia kuwafungulia kesi hawana vibali!
matrafki hawa ambao wanashindana kujenga majumba kwa pesa za dhuruma nani wakusimama kupunguza vijana hawa wanavyopoteza maisha na wengine ulemavu?
Kama zikitengenezwa sheria kali za kukamata pikipiki na faini kali Hakika tatizo litapungua kwa kiasi kikubwa.
Kuliko kuendelea kupokea elfu 5 za vijana na wakiwaacha wafanye wanayofanya.
Wiki iliyopita boda mmoja kajisababishia ajali kipumbavu sana, ilikuwa hivi; ameendesha pikipiki akiwa kalala sio usingizi yani kama ile michezo amelalia pikipiki miguu iko kwenye kiti kile cha abiria, kifua kalaza kwenye tank ya mafuta.Kwa hili namuunga mkono mh Naibu Spika.
Boda Boda waliowengi wapo rough sana katika uendeshaji wao na kibaya zaidi hawafuati sheria za barabarani.
Ajali zimekuwa nyingi tena wakati mwingine wanasababishiana boda boda kwa boda boda yaani unakuta mwingine anaendesha kistaarabu kisha mwingine tena bila tahadhari anakwenda kama mwendawazimu na kuleta ajali.
Wengi ni vijana wadogo na wahuni wanaotumia pombe, Sigara, bangi na vilevi vingine.
Ni watu wasiofuata utaratibu kabisa na sasa hivi ndiyo zinazidi kuongezeka maana boda boda kwa sasa imekuwa kimbilio la wengi.
Najaribu kutafakari baada ya miaka 15 hii hali ikiendelea sipati picha idadi ya hizo boda boda humo barabarani.
Sasa hivi hata kama una mtoto kumtuma hata dukani unapata mashaka makubwa, kila leo Ajali watoto wa shule za msingi wanagongwa na hizi boda boda.
Hawafuati mkuu tena wana ile tabia ya ku-over take upande wa kushoto... Wewe umeconcentrate kulia mara boda unashangaa kapita speed tena upande aliopita sio sahihi sasa fikiria unapishana na gari kisha unatanua kidogo mara paap boda huyu!! Hawa vijana ni balaaIla kiukweli kunahitajika mkakati madhubuti kwa hawa vijana. Aisee ajali ni nyingi. Halafu wengi wao hawafuati kabisa sheria za usalama barabarani.
Mkuu mliverpool,Nakuelewa Lakin mazingira ya usafiri wa bodaboda ndo unafanya I've ngumu kwa askari kuweza kupambana nao tofauti na gari,mfano hapo mataa ya airport umemsimamisha bodabodq amepitiliza unamkamata vipi?? Ili umkimbize na ww itabidi uv7nje sheria uchukue pkpk nyingine uende kasi zaidi yake! Na kwq mazingira ya sasa ya dar utakimbizana na bodaboda ngp??
Aliposema Lema aliitwa kila jina baya"Suala la bodaboda ni kero kubwa sana na hasa katika utumiaji wa sheria za barabara, mimi ni mtetetezi mkubwa sana wa bodaboda lakini matumizi yao kwenye barabara yanakatisha tamaa lazima muwe na mkakati maalum wa kudhibiti ajali wanazozifanya na lazima muwe na sheria kali za kuwadhibiti na hata kuwasimamisha, sababu ukienda MOI sasa hivi asilimia 90 ni vijana," - Mussa Azan Zungu
View attachment 2894963
Credit-EastAfricaTv