Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazifata wapi? Wanazijua hata!? Mtu anatoka kuendesha baiskeli,akijua tu kubadiri gia,anaingia barabarani.Ila kiukweli kunahitajika mkakati madhubuti kwa hawa vijana. Aisee ajali ni nyingi. Halafu wengi wao hawafuati kabisa sheria za usalama barabarani.
Angesema Bajaj ningemwelewa."Suala la bodaboda ni kero kubwa sana na hasa katika utumiaji wa sheria za barabara, mimi ni mtetetezi mkubwa sana wa bodaboda lakini matumizi yao kwenye barabara yanakatisha tamaa lazima muwe na mkakati maalum wa kudhibiti ajali wanazozifanya na lazima muwe na sheria kali za kuwadhibiti na hata kuwasimamisha, sababu ukienda MOI sasa hivi asilimia 90 ni vijana," - Mussa Azan Zungu
View attachment 2894963
Credit-EastAfricaTv
Tufanyeje sasa mkuu!?Kwanza ni bodaboda wangapi wana leseni za udereva, hilo tu serikali imeshindwa kufuatilia. Hii nchi yetu kila kitu kinajiendea tu.
Vijana wengi katika hii ahira wamekuwa wanywa smart gin, hali inazidi kuwa mbaya.
Haisaidii,, unaweza ukawa unatembea kwa miguu pembeni mwa bara bara lakini ukafuatwa na boda boda humo humo mkuuTZ 11, Unapiga mojamoja mzee.
Fata Sheria Boda Boda weweAmekaa mahali kashiba maharage anaona aropoke ujinga
Nendeni Rwanda tu hapo mkaone bodaboda wanavyofuata sheria ,mavazi yao ,kofia zao n.k ni suala la lazima sio ombi kutii sheria"Suala la bodaboda ni kero kubwa sana na hasa katika utumiaji wa sheria za barabara, mimi ni mtetetezi mkubwa sana wa bodaboda lakini matumizi yao kwenye barabara yanakatisha tamaa lazima muwe na mkakati maalum wa kudhibiti ajali wanazozifanya na lazima muwe na sheria kali za kuwadhibiti na hata kuwasimamisha, sababu ukienda MOI sasa hivi asilimia 90 ni vijana," - Mussa Azan Zungu
View attachment 2894963
Credit-EastAfricaTv
Sijawahi kuwa bodabodaFata Sheria Boda Boda wewe