Bila shaka Natenyahu naye alikuwa mbele ya runinga:
Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel yamepanuka.
Hawajachagua kiongozi na kwa wakati wao watamchagua.
Kamwaga pongezi za kutosha kwa HAMAS, Houthi na Iran.
Hezbollah itapigana hadi tu, kuwe na ceasefire Gaza.
Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel yamepanuka.
Hawajachagua kiongozi na kwa wakati wao watamchagua.
Kamwaga pongezi za kutosha kwa HAMAS, Houthi na Iran.
Hezbollah itapigana hadi tu, kuwe na ceasefire Gaza.