Naibu wa Nasrallah aihutubia dunia kuweka mustakabala wa vita Lebanon

Naibu wa Nasrallah aihutubia dunia kuweka mustakabala wa vita Lebanon

Sawa
ukiwa vitani huogopi kufa ndugu yangu, kufa ni moja ya majukumu kule vitani. Ni bora kufa kishujaa kuliko kufa kifala
Ni kweli ikiwa kweli ni vita jenuine ya kuitetea nchi yenu, sio vita ya kujipendekeza na kutumika na mataifa mengine
 
Tatizo la makafikiri hufikiria waislam huogopa kufa kama wao pindi wanapodai haki yao na ni spirit ya asili Toka kuzaliwa Kwa mtoto na mtoto hujazwa ujinga na hofu baada ya kubatizwa ndipo tatizo huanzia hapo na kupenda kuwa mlinzi wa Dunia hata kwenye haki yake
 
Kwamujibu wa Nasrallah aliingia Vita hii ili kuwapunguzia vita Hamas alifikiri huenda IDF wataachana na Gaza na wataenda Lebanon.

Si tulikubaliana wewe ni "mfuasi wa nani" maana wengine ni wafuasi wa "mnyaa..azi Mungu?"

Sasa kilikoni "mfuasi wa nani" kumwongelea alichosimamia Nasrallah (rip)?
 
Tatizo la makafikiri hufikiria waislam huogopa kufa kama wao pindi wanapodai haki yao na ni spirit ya asili Toka kuzaliwa Kwa mtoto na mtoto hujazwa ujinga na hofu baada ya kubatizwa ndipo tatizo huanzia hapo na kupenda kuwa mlinzi wa Dunia hata kwenye haki yake

Haijulikani hao ni "wafuasi wa nani" Kwa maana hata Papa kiongozi mkuu wa wakristo walio wengi hayuko nao.
 
Ulitegemea aseme wameishiwa nguvu?
Mbona hata HAMAS Wanasema hivyo hivyo!

Kwani HAMAS wameishiwa nguvu?

IMG_20241007_231554.jpg


Kwani kama hawajaishiwa nguvu ulitaka waseme wameishiwa nguvu?

Kama wangekuwa wameishiwa nguvu kumbe Israel wanafanya nini huko?
 
Ulitegemea aseme wameishiwa nguvu?
Mbona hata HAMAS Wanasema hivyo hivyo!
Hamas yule msemaji wao Abu Ubaida anakuambia punde tunawashinda IDF wakati huo huo Yuko shimoni.
 
Tatizo la makafikiri hufikiria waislam huogopa kufa kama wao pindi wanapodai haki yao na ni spirit ya asili Toka kuzaliwa Kwa mtoto na mtoto hujazwa ujinga na hofu baada ya kubatizwa ndipo tatizo huanzia hapo na kupenda kuwa mlinzi wa Dunia hata kwenye haki yake
Hivi kati ya wewe anayesema hakuna mungu isipokuwa allah kwa maana nyengine unamkana Mungu muumba mbingu na dunia na kumreplace na allah nani ni kafiri kati yako na wakristu?
 
Afadhali amejitokeza, maana alipotea ghafla. Sasa ajipange kujifichaficha
 
Hamas yule msemaji wao Abu Ubaida anakuambia punde tunawashinda IDF wakati huo huo Yuko shimoni.

Kwani Natenyahu yuko barabarani?

Kwambq wako shimoni:

1. Israel wamepiga hatua ngapi Lebanon kusini?

2. Nk

Hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Back
Top Bottom