imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wamempakaa Poda unajua Poda inanyonya Jasho?!Hahaha wala hatetemiki kijemedari na kikomando kama netanyau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamempakaa Poda unajua Poda inanyonya Jasho?!Hahaha wala hatetemiki kijemedari na kikomando kama netanyau
MDomo mdomo the phuuuu...kwisha kama Nasralah, better keep quite na waitafue amani na Israel
Ni kweli ikiwa kweli ni vita jenuine ya kuitetea nchi yenu, sio vita ya kujipendekeza na kutumika na mataifa mengineukiwa vitani huogopi kufa ndugu yangu, kufa ni moja ya majukumu kule vitani. Ni bora kufa kishujaa kuliko kufa kifala
Huyo ndo komando halisi haogopi camera .afu ka relax jasho litatokajeWamempakaa Poda unajua Poda inanyonya Jasho?!
Kwamujibu wa Nasrallah aliingia Vita hii ili kuwapunguzia vita Hamas alifikiri huenda IDF wataachana na Gaza na wataenda Lebanon.
Tatizo la makafikiri hufikiria waislam huogopa kufa kama wao pindi wanapodai haki yao na ni spirit ya asili Toka kuzaliwa Kwa mtoto na mtoto hujazwa ujinga na hofu baada ya kubatizwa ndipo tatizo huanzia hapo na kupenda kuwa mlinzi wa Dunia hata kwenye haki yake
MDomo mdomo the phuuuu...kwisha kama Nasralah, better keep quite na waitafue amani na Israel
Mimi nilishakuambia kuwa mimi ni Agnostic.Si tulikubaliana wewe ni "mfuasi wa nani" maana wengine ni wafuasi wa "mnyaa..azi Mungu?"
Ulitegemea aseme wameishiwa nguvu?
Mbona hata HAMAS Wanasema hivyo hivyo!
Mimi nilishakuambia kuwa mimi ni Agnostic.
Hamas yule msemaji wao Abu Ubaida anakuambia punde tunawashinda IDF wakati huo huo Yuko shimoni.Ulitegemea aseme wameishiwa nguvu?
Mbona hata HAMAS Wanasema hivyo hivyo!
Kichapo atakula ni suala la muda tuuTambo ipi unayoisoma hapo ndugu?
Mnyonge mnyongeni mwamba alichotoa hapo ni narrative yaani hali halisi.
Nothing short, nothing more.
Hivi kati ya wewe anayesema hakuna mungu isipokuwa allah kwa maana nyengine unamkana Mungu muumba mbingu na dunia na kumreplace na allah nani ni kafiri kati yako na wakristu?Tatizo la makafikiri hufikiria waislam huogopa kufa kama wao pindi wanapodai haki yao na ni spirit ya asili Toka kuzaliwa Kwa mtoto na mtoto hujazwa ujinga na hofu baada ya kubatizwa ndipo tatizo huanzia hapo na kupenda kuwa mlinzi wa Dunia hata kwenye haki yake
Kichapo atakula ni suala la muda tuu
Kichapo atakula ni suala la muda tuu
Hamas yule msemaji wao Abu Ubaida anakuambia punde tunawashinda IDF wakati huo huo Yuko shimoni.