Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Anajitutumia huku yuko shimoniBila shaka Natenyahu naye alikuwa mbele ya runinga:
View attachment 3118649
Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel yamepanuka.
Hawajachagua kiongozi na kwa wakati wao watamchagua.
Kamwaga pongezi za kutosha kwa HAMAS, Houthi na Iran.
Hezbollah itapigana hadi tu, kuwe na ceasefire Gaza.