Anajitutumia huku yuko shimoniBila shaka Natenyahu naye alikuwa mbele ya runinga:
View attachment 3118649
Kwa muda wote hadi sasa Israel imeshindwa kusonga mbele kusini mwa Lebanon.
Uwezo wao uko pale pale, na mpambano kaskazini mwa Israel yamepanuka.
Hawajachagua kiongozi na kwa wakati wao watamchagua.
Kamwaga pongezi za kutosha kwa HAMAS, Houthi na Iran.
Hezbollah itapigana hadi tu, kuwe na ceasefire Gaza.
Anajitutumia huku yuko shimoni
Degedege ya uzeeni ni hatari sana mkuu.Hizo ni ndume mkuu:
Iran, Hezbollah na wenzao mfano mzuri wa upendo wa Yesu Kristo aliyetufia msalabani
Wewe unaweza kufa kwa niaba ya rafiki tu?
Angalizo: Soma kwa kutulia.
Chama kama Hezbollah hakiwezi kukosa kiongozi hata siku Moja. Wao ni wanaharakati. Wanaharakati madhubuti wanajua kifo kwao ni swala la lazima na muda wowote.Sio huyo wamesema yule Hashem Saif Din week nzima wanasema wamemuwa leo wanasema hawana uhakika kama wamemuwa 😄
Huyu pia walisema ka resigned wakatoa topic hapa nikamwambia mtoa mada punguza uwongo si kweli. Wengine wakasema hichi kizee kimeogopa kufa 😄
Kwa tarifa yao wajinga walio sema huyu ka resigned na wengine kaogopa nafasi ya kuwa kiongozi wa Hezbullah nawapa tu tarifa huyu ndio Kiongozi wa Hezbullah kwa sasa bada ya Nasurlah dalili hi hapa.
View: https://youtu.be/bhysZ8DQiFQ?si=NAQzN-nACicFHtxn
Degedege ya uzeeni ni hatari sana mkuu.
Yesu umfananishe na muuaji mpalestina?
Na magaidi ya Iran?
Fambaf zako kwa hasira