Naibu wa Nasrallah aihutubia dunia kuweka mustakabala wa vita Lebanon

Anajitutumia huku yuko shimoni
 
C
Chama kama Hezbollah hakiwezi kukosa kiongozi hata siku Moja. Wao ni wanaharakati. Wanaharakati madhubuti wanajua kifo kwao ni swala la lazima na muda wowote.
Licha ya kuwa ni wateule Haitatokea hata siku Moja Israel ikaishi Kwa amani. Kila siku wataamkia vitani, Kila siku watapigana na haitakuja siku Hamas na Hezbollah watasema tumeshindwa! Haitatokea.
Aluta continua.
 
Degedege ya uzeeni ni hatari sana mkuu.

Yesu umfananishe na muuaji mpalestina?
Na magaidi ya Iran?

Fambaf zako kwa hasira

Wapi yesu kafananishwa na mtu?

Uliliona angalizo lakini au ulirukia kusoma tu?

Matendo ya Mitume 17:11 - 12 inasema waberoya waliyachunguza maandiko.

Kazi ya mikono si ya miguu. Ubongo una kazi yake. Na ndiyo hii sasa. Kuyachunguza maandiko.

Unayemwita gaidi anaweza kuwa anakuita gaidi. Nyani haoni ku*dule!

Ndiyo maana kujichukulia sheria mikononi ni upumbafu uliopitiliza!







Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…