Naibu Waziri atangaza Siku 14 kuondoa namba za 3D, madereva wa serikali kukiona

Mkuu hata hawawezi lala njaa, maana ukinunua gari lazima atengeneze yeye kwanza kisha wewe ndipo uje ubandike 3d juu yake.
So, huendi moja kwa moja ukajitengenezea kibati na kujibandikia 3d, 3d inabandikwa juu ya kibati ambacho tayari huyo jamaa ashaprint namba za kawaida.
 
ingekuwa taifa la marekan ningeenda kushitaki ila kwa tz unaweza jikuta unafungwa mfungua kesi mahakama zipo mfukon mwa viongozi
 
Kumbe huwa unakasirikaga.

Unatisha
 
Kuna taa zinawekwa kwenye magari zinamwanga mkali sana zikikupiga huoni mbele vizuri kwa magari na pikipiki.Naomba askari usiku wafanye zoezi la kukamata magari haya ma pikipiki zenye mwanga mkali ambazo si original kwenye matumizi ya magari na pia maduka wanayouza hizo taa wakamatwe hao wanaouza.Mi najua serikali ina mkono mrefu
 
Hapo utakuta MASASI SIGN katoa mpunga mrefu zoezi lifanyike ili yeye apige pesa.

Namshangaa Waziri anaongelea stika anaacha NGAO zilizopo kwenye Bajaj na Daladala
Na alivyo na uwezo mdogo ameenda straight bila kujiongeza.....huyu masasi kwa miaka mingi amepiga hela ula tamaa na wivu baada ya kuona soko lipo wazi na wengine wanapata kaumia.
Wasichokijua hata huyo sagini dunia imebadilika sana....it's too late...
 
Exactly ila wenye maduka hawana kosa kwani wanalipa kodi na stahiki zote..
Sorry to say viongozi wengi wana IQ ndogo sana.
Tunga sheria then mtu akikiuka hatua stahiki zichuliwe Period.
Haya matamko ya hewani yabaki katika level ya familia binafsi.
Nchi haiongozi hivi ..haya mi matokeo ya corruption.
Hata JPM kuna mambo alichemka kwa sababu hakuna sheria iliyomuongoza.
Swali dogo tu kwa nini namba atengeze MASASI peke yake kwenye dunia ya sasa?....
Time will tell
 
Aliyesema Tanzania ni channel ya vichekesho huko mbinguni hakukosea

Nchi kama nchi ina mambo mengi ya kujadili maslahi ya wananchi kama umeme, maji, shule, miundombinu, NHIF afya, bei za vyakula n.k

Lakini mkazo unatiliwa kwenye very minor ishu ambayo haina mashiko kisheria.. Damn!

Kuna mchangiaji hapo juu kasema huu ni mradi wa mtu wapige 10% na wazalishaji sasa naanza kuelewa....

Camera zenyewe wanazosema za kusomea hizo plate number ni very local...wenzetu ulaya wameshavuka huko hawana mambo ya kuanza kukimbizana na tuvitu vidogo

Yaani hii nchi kuna muda inakera basi tu
 
Sahihi
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote
 
wanaotengeneza Plate number za 3D wenyew hawatengenezi hivyo visahani vinavyokuja na hizo namba, bali wao huongeza namba za 3D juu ya namba zilizo kwenye visahani✍️🧠 Nadhani kuna sababu wanazojua wao, ingawa hata zakwao hazina mashiko sana, Sisi nchi yetu inangojea ugundue kitu ikukataze kwakusem hufuat sheria, Lakin hawana mawazo ya kuwaunga mkono walio gundua jambo fulani, hao ni vijana wanatafut kula, ajira umewanyima, wamekuw wabunifu bdo vikwazo kibao, uongoz wetu unahitaji kujichunguza
 
Japo sina ndinga binafsi sizipendi kichizi
 
TATIZO NI NJAA WALA SIO KUHATARISHA USALAMA BARABARANI
 
Hizo 3D hazina ubora wala uzuri wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…