cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaJua kali uyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaJua kali uyo!
Aaahh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU.Siasa zimeshamiri sana kwenye soka la Simba na Yanga. Serikali hii nawaambia haina great thinkers. Hawajui wafanye nini kusapoti michezo zaidi ya kwenda na matukio. Bahati mbaya TFF nayo ni hopeless
Kama Rais yupo karibu na wafanyabiashara unaona ajabu naibu waziri tena wa michezo kuwa karibu na wafanyabiashara?Hivyo unaona ni sifa kwa kiongozi wa umma kuwa karibu sana na wafanya biashara wenye historia ya ukwepaji kodi? Watanzania tuache ujinga tukemee viongozi wa siasa wanaotaka kushinda kwenye ofisi za wafanyabiashara
Ndivyo alivyosema hivyo?Nimemsikia Msigwa akibwabwaja bila aibu kuwa timu inayosaidia na Serikali ni ile yenye mafanikio. Wakati hiyo yéyé ni Shabiki wa Yanga na kwa namna yoyote anamaanisha kuwa Yanga ndio inastahili msaada wa Serikali. Wakumbuke kuwa Mpira ni zaidi ya Siasa. Tutafikia hatua ya kutoana roho.
Wanatumia vyeo vyao kujinufaisha wao na marafiki zao! Mfano ilo fungu la kusafirisha mashabiki limetoka kwenye hesabu ipi? Unasafirisha mashabiki unawapa malazi,chakula n.k wakati hapo muhimbili watu wanakufa kwa kukosa Panadol! Ekueme!!Watanzania wengi ni wachoyo, wabinafsi, wasiopenda maendeleo ya wengine (ingawa wao hawafanyi juhudi zozote za maaña kùjikwamua zaidi ya kuuza karanga kwa kijiko), wenye kupenda kuharibiana ugali, wasio na matumaini, sifa nyingine malizieni
Mimi naona umeandika kichuki zaidi. Yanga imependelewa kipi? Na F.A hawezi kuua urafiki na GSM kwa sababu ya uwaziri kumbuka kuna wakati alimfaa na kuna kurudi mtaani. Lazima awe na hatua ya kuanzia jinsi ya kuishi mtaani. GSM ni nguli wa biashara. Unajuaje kama anatafuta fursa za kujifunza jinsi ya kuendesha biashara na connection zake kabla hajatoka kwenye madaraka pindi ambayo huenda asiwe na access ya kukutana na GSM?Tangu huyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma ,maarufu Mwana FA ateuliwe na Rais kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo ameonesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hiyo.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Tangu ateuliwe nafasi hiyo amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la Suremander tower kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama GSM.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara huyo kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara huyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama Naibu Waziri.
Sote tunajua GSM anamiliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha Naibu Waziri kugeuza ofisi za mfanyabiashara huyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Tangu Hamis Mwinjuma, apate nafasi hii ya Unaibu Waziri, timu inayomilikiwa kinyemela na GSM, Young African (Yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka Serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba SC ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika
Hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya Yanga ni juhudi za Naibu Waziri huyo kumfurahisha GSM kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa Naibu Waziri huyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (GSM) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
Mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na Serikali kupitia Naibu Waziri huyo.
Kama Serikali inaona Yanga ndio Klabu pekee hapa nchini basi itangaze rasmi Watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu. Wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na Yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yoyote na Serikali!! Ila Yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa Naibu Waziri huyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua Naibu Waziri huyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu Waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! Inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Huyo Naibu Waziri ikitokea akawa Waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara huyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya Naibu Waziri huyu hafai kabisa na Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Nini kikubwa kinahusu ukaribu wao? Tujuze em
Mabadiliko uanza na chochote! Unajua maandamano yalioanzia Tunisia yakasambaa arabuni kote maarufu kama maandamano ya asumini yalitokana na nini? Usidharau chunusi inaweza kuleta jipu.Hilo liko wazi kuna upendeleo, uswahiba wa fa na salah ni mkubwa sana.
Mie ni shabiki kindakindaki wa simba lakini katu siwezi ingia barabarani kisa yanga kapendelewa,😂 uchizi huo sina.
Nimeshindwa kuingia barabarani kwa vitu vya msingi vya taifa ambavyo vinanikera na kunisokota rohoni, wizi wa wazi wazi wa viongozi, mara bima,mara mafao ya wenza, mara hiki mara kile, siwezi ingi road kisa simba
Wakati Simba inapewa ndege na serikali ulikuwa bado upo Kijijini?Tangu huyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma ,maarufu Mwana FA ateuliwe na Rais kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo ameonesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hiyo.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Tangu ateuliwe nafasi hiyo amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la Suremander tower kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama GSM.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara huyo kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara huyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama Naibu Waziri.
Sote tunajua GSM anamiliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha Naibu Waziri kugeuza ofisi za mfanyabiashara huyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Tangu Hamis Mwinjuma, apate nafasi hii ya Unaibu Waziri, timu inayomilikiwa kinyemela na GSM, Young African (Yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka Serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba SC ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika
Hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya Yanga ni juhudi za Naibu Waziri huyo kumfurahisha GSM kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa Naibu Waziri huyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (GSM) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
Mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na Serikali kupitia Naibu Waziri huyo.
Kama Serikali inaona Yanga ndio Klabu pekee hapa nchini basi itangaze rasmi Watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu. Wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na Yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yoyote na Serikali!! Ila Yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa Naibu Waziri huyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua Naibu Waziri huyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu Waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! Inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Huyo Naibu Waziri ikitokea akawa Waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara huyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya Naibu Waziri huyu hafai kabisa na Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Wanafanya kazi kwa weredi bila upendeleo wowote ndio maana hawatangulizi ubinafsi kwenye masuala ya umma
Kwani mlezi wenu kipenzi Wallace Karia na Bodi yake ya ligi anasemaje?Tangu huyu ndugu anayeitwa Hamis Mwinjuma ,maarufu Mwana FA ateuliwe na Rais kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo ameonesha kuwa hatoshi kuwa kwenye nafasi hiyo.
Ni mtu hatari kwa usalama na ustawi wa amani na utulivu wa nchi.
Tangu ateuliwe nafasi hiyo amekuwa anatumia muda mwingi kwenye ofisi za wafadhili wake pale posta kwenye jengo la Suremander tower kwa mfanyabiashara maarufu anaejulikana kama GSM.
Amekuwa anatumia ukaribu wake na mfanyabiashara huyo kwa kutumia nafasi yake ya Unaibu Waziri kutekeleza matakwa ya mfanyabiashara huyo bila kujali kuwa ni hatari kwa afya ya ustawi wa sekta anayoisimamia kama Naibu Waziri.
Sote tunajua GSM anamiliki na kufadhili baadhi ya vilabu vya michezo hasa mpira wa miguu, hivyo kitendo cha Naibu Waziri kugeuza ofisi za mfanyabiashara huyo kama nyumbani kwake, kunatishia uhai wa sekta ya michezo na hii inaweza kuleta sintofahamu na kutishia amani na ustawi na ustaarabu wa nchi yetu uliojengwa kwa miaka mingi.
Tangu Hamis Mwinjuma, apate nafasi hii ya Unaibu Waziri, timu inayomilikiwa kinyemela na GSM, Young African (Yanga) imekuwa ikipata upendeleo wa shahili dhahili kutoka Serikalini na hii inaleta sintofahamu kwa washabiki wa vilabu vingine vya michezo hasa Simba SC ambayo mashabiki wake wamevumilia hali hio kwa muda mrefu na sasa wameanza kutoka hadharani kulalamika
Hii ni hatari!! huu upendeleo kwa timu ya Yanga ni juhudi za Naibu Waziri huyo kumfurahisha GSM kwa manufaa yake.
Serikali isipokuwa macho na kuchukua hatua kwa Naibu Waziri huyu mwenye mahaba mazito na mfanyabiashara uyo (GSM) inawezekana ikaleta hatari kwa ustawi wa nchi yetu.
Mashabiki wa Simba wanaweza kuingia barabarani kuandamana kupinga upendeleo wa wazi wazi unaofanywa na Serikali kupitia Naibu Waziri huyo.
Kama Serikali inaona Yanga ndio Klabu pekee hapa nchini basi itangaze rasmi Watanzania wote wajue na sio kufanya upendeleo usio na afya kwa taifa letu. Wote tunajua taifa letu limegawanyika pande mbili za Simba na Yanga kwenye suala la michezo!
Haiwezekani Simba ambayo kwa miaka zaidi ya mitano inawakilisha taifa kwa mafanikio makubwa haijawahi kupewa sapoti yoyote na Serikali!! Ila Yanga ambayo imekuwa ikitia aibu taifa inapata misaada ya wazi na ya kificho kutoka serikalini kwa msaada wa Naibu Waziri huyo kwa manufaa anayojua yeye.
Serikali ya Rais Samia Suluhu ijitafakali na kumchukulia hatua Naibu Waziri huyu haraka kabla amani ya nchi haijatoweka! Washabiki wa Simba ni wengi nchi hii ni zaidi ya millioni thelathini.
Naibu Waziri kushinda kwenye ofisi za mfanyabiashara ni hatari! Inawezekana kuna biashara haramu inafanyika hapo maana si jambo la kawaida! Huyo Naibu Waziri ikitokea akawa Waziri kamili (MUNGU aepushie mbali) siri zote za vikao vya baraza la mawaziri zitakuwa wazi kama mapaja ya malaya kwenye ofisi za mfanyabiashara huyo.
Vijana wanaopata nafasi hizi za uongozi ni vyema kuzingatia maadili, waache tamaa za kutaka utajiri haramu wa haraka!
Kuna mengi sana mambo haramu juu ya Naibu Waziri huyu hafai kabisa na Rais amtoe kwenye nafasi hio kwa usalama wa nchi yetu.
Kuna watu ni wapuuzi Sana humu, tumeandika humu mara nyingi tu, Simba na Yanga ni timu zinazomilikiwa na serikali sijui lini mtaelewa Kiswahili.Nakumbuka biashala United ilishindwa kusafili inamana hili fungu kipindi Hiko halikiwepo
Hao wafanyabiashara waliwahi kujibu tetesi zao za ukwepaji kodi enzi za awamu ya nne?! Tafakali chukua hatua hata kimoyo moyo!Kama Rais yupo karibu na wafanyabiashara unaona ajabu naibu waziri tena wa michezo kuwa karibu na wafanyabiashara?
By the way kwani ww unatatizo gani na wafanyabiashara? Si ndio wanaoongoza kulipa kodi Tz na kila siku mapato yanapaa kwa kodi zao.
Kama Huna hoja kakojoe ulale kolo.
Kwa hiyo Nani mpuuzi sasa ndugu Mimi au wewe ambaye unajifanya kujua Sana imana selkali kama mzazi anabagua watoto wakeKuna watu ni wapuuzi Sana humu, tumeandika humu mara nyingi tu, Simba na Yanga ni timu zinazomilikiwa na serikali sijui lini mtaelewa Kiswahili.
Muulizeni Mo Kwa nini anakwama kuimiliki Simba?
Yani wewe unataka kuipangia serikali juu ya timu zake?
Mo kasha inunua Simba reference yeye mwenyeweKuna watu ni wapuuzi Sana humu, tumeandika humu mara nyingi tu, Simba na Yanga ni timu zinazomilikiwa na serikali sijui lini mtaelewa Kiswahili.
Muulizeni Mo Kwa nini anakwama kuimiliki Simba?
Yani wewe unataka kuipangia serikali juu ya timu zake?
Unajua sheria za maadili ya viongozi wa utumishi wa umma!! Au unaenda kipunda punda tu! Uku nilipo mwanasiasa kuwa karibu na mfanyabiashara kupitiliza lazima ufanyike uchunguzi! Bongo uchawa mwingi ndio maana mpaka leo hadi vyoo tu mashuleni kujenga mpaka msaada wa US aid.Mimi naona umeandika kichuki zaidi. Yanga imependelewa kipi? Na F.A hawezi kuua urafiki na GSM kwa sababu ya uwaziri kumbuka kuna wakati alimfaa na kuna kurudi mtaani. Lazima awe na hatua ya kuanzia jinsi ya kuishi mtaani. GSM ni nguli wa biashara. Unajuaje kama anatafuta fursa za kujifunza jinsi ya kuendesha biashara na connection zake kabla hajatoka kwenye madaraka pindi ambayo huenda asiwe na access ya kukutana na GSM?