Naibu Waziri Hamis Mwinjuma 'Mwana FA' ni kirusi kwa ustawi wa michezo, Rais amtoe wizarani

Wewe upo wapi? Kuna Taifa kubwa kuzidi Marekani? Unadhani Trump NI mkulima?
 
Mambo mangapi ya kimsingi watanzania wanaomba lakini serikali inasema haina fedha! Huwezi kuelewa hoja yangu kwasababu za kipunda punda.
 
Mo kasha inunua Simba reference yeye mwenyewe
Huwezi kuinunuwa Simba wala Yanga, hao wafanyabiashara wanaachiwa waziendeshe tu na kutangaza biashara zao na wanatakiwa wazihudumie serikali haitowi pesa, ila kuna mazingira maalum mmiliki halisi wa hizo timu ndio huwa anajitokeza kutowa sapoti.
 
Hivi kabla ya kuandika huwa unayatafakari kabisa unayoyaandika?
 
Kwa hiyo Nani mpuuzi sasa ndugu Mimi au wewe ambaye unajifanya kujua Sana imana selkali kama mzazi anabagua watoto wake
Kama Una toto kivita bangi tu Kwa nini uingie gharama kubwa ya kulisomesha badala ya kutumia nguvu kubwa Kwa Yule anayetaka kusoma?

Mwambieni Mwamedi atowe pesa asajili wachezaji wa daraja la juu.
 
Wewe upo wapi? Kuna Taifa kubwa kuzidi Marekani? Unadhani Trump NI mkulima?
Ungekuwa unamjua Trump vizuri usingekuja na majibu mepesi hivi! Najua bongo uwezi kula mpaka usifu! Hivyo sikushangai! Biashara za Trump zinajulikana na rekodi yake ya kulipa kodi inajulikana! Hata mshahara wake wa urais unajulikana na unakatwa kodi!
Uko bongo Rais mshahara wake unajulikana? Unakatwa kodi? Kumbe huna akili.
 
Acha Undunduka we Kolo
 
Una maana ni wapenzi?
 
Hata MO ni muhuni tu,ninacho sisitiza viongozi wa umma waache kutumia vyeo vyao kwa manufaa yao na rafiki zao.
Kwa hiyo wasiwe na marafiki?. Vizuri uwe na ushahidi wa manufaa gani kanufaika nayo?. Vinginevyo ushabiki wako kwa mikia usiwapeleke kuumia kwa kila jambo
 
Inawezekana ila sio afya kwa ustawi wa siasa za Simba na yanga,itamletea shida hata uyo Madam president.
Ni kweli kabisa shida hawa viongozi wetu hawafanyi kazi kwa ueledi ni kujikomba komba tu kutetea matumbo yao sasa mfano kwa issue ya Simba na Yanga kama kiongozi alipaswa kubalance asionyeshe kaegemea upande gani

Lakini ndio Tanzania yetu ilivyo hovyo sana
 
Baada ya gsm kuanza kuwekeza Yanga aliingia bifu kali sana na makonda
Simba wamshukuru sana makonda
 
Umaskini mbaya sana mpaka mtu anaanza kuona misaada ni haki yake
Kuna waziri wa Michezo simba damu,kuna waziri mkuu nae ni simba damu..rais wa tff ni simba damu..hawa wote wameshindwa kuisaidia Simba mpk lawama upeleke kwa mtu mmoja tu ambae nae ni Simba damu au una chuki zako binafs mkuu..au wivu unakusumbua???
 
upo mkunduni na ni kweli ukoo wetu hawapo mikunduni
 
Huyu na Bashe ni wasanii, pseudo-smart. Wajanja wa mdomoni tu. Na nchi hawaoni.
 
Sio kwamba wewe ndio kapuku ndugu kapuku? Chotus Chama analamba milioni 40 kwa mwezi, haya wewe kapuku endelea kukaa hapo hapo kwa shem, utaisoma namba mamamaeh.
 
Nimesikia wanazungumza leo kupitia yule jamaa anaeomgeaga kwa kuhamaki, kwamba serikali haiwez kukusaidia wewe unapeleka timu unafungwa goli 70 kwa 3,, au timu ndogo ndogo za michongo wanaenda kufungwa na kutia aibu nchi za watu. Hayo ndio majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…