Naibu Waziri Jumanne Sagini: Serikali haihusiki na matukio ya moto

Naibu Waziri Jumanne Sagini: Serikali haihusiki na matukio ya moto

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amesema kuwa serikali haihusiki na matukio ya moto yaliyotokea katika baadhi ya mikoa nchini na itawachukulia hatua watakaobainika kuhusika na matukio hayo.

Chanzo: itvtz

Endeleeni kudhani wote tu hatuna Akili.

Nitakuwa wa mwisho kuamini hili kwa sababu zangu Binafsi na Taarifa za ndani zilizopo
 
Sawa, lakini kwa ujumla lengo ni moja tu 👇🏼
 
Huyu mtoa post unafanana kabisa na yule jamaa wa pili kabisa aseee!.
 
Back
Top Bottom