Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh. Waziri alikuwepo henzi za fast jet?“Ombi letu kama Serikali tunawaomba Sekta binafsi watusaidie kuja kuingia kuwekeza katika Sekta ya anga, nunueni ndege za kutosha kwasababu Air Tanzania peke yake haiwezi kununua ndege kwenye viwanja vyote vilivyopo Nchini” - Mhe. David Kihenzile
Sorry Sir, sio kweli kabisa. Nchi hii ina uongozi mbaya sana wa kisiasa. Sisi tuliofanya kazi serikalini miongo kadhaa tumeshuhudia maamuzi ya ajabu sana ya viongozi. Fani zote zimekuwa na wataalamu wazuri sana wanaoandaa mipango makini sana. Lakini wao na kazi zao wamekuwa wakisukumiwa pembeni ili kurahisisha shughuli za ufisadi.As before probably alikuwa na plan nzuri but hakuwa na washauri wazuri, matokeo yake ikaua biashara and probably ajira, lack of vision na proper planning bado ni tatizo kwa nchi yetu