Yalipotokea miaka michache iliyopita, ikasemekana kuwa wauaji hao wanatumwa na Magufuli; sasa hivi wanatumwa na nani?Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.
Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.
Source: ITV habari
Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Yalipotokea miaka michache iliyopita, ikasemekana kuwa wauaji hao wanatumwa na Magufuli; sasa hivi wanatumwa na nani?
Nchi imepoteza uongozi wa haki, mbaya zaidi hata viongozi wa dini wameshindwa kusimama kwenye nafasi zao na wamegeuka kuwa wapambe wa wanasiasa na mifumo kandamizi. mwisho wa siku moral values zimetoweka katika jamii.Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.
Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.
Source: ITV habari
Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Fedheha haija anza leo.
Vile viroba tulivyo ambiwa vina toka Somalia haikuwa fedheha?
Watu kulala na njaa miezi mitano sio fedheha??