Naibu Waziri: Mauaji yanayotokea nchini ni fedheha kwa taifa. Naagiza Polisi wayadhibiti

Naibu Waziri: Mauaji yanayotokea nchini ni fedheha kwa taifa. Naagiza Polisi wayadhibiti

Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Yalipotokea miaka michache iliyopita, ikasemekana kuwa wauaji hao wanatumwa na Magufuli; sasa hivi wanatumwa na nani?
 
Yalipotokea miaka michache iliyopita, ikasemekana kuwa wauaji hao wanatumwa na Magufuli; sasa hivi wanatumwa na nani?

Wanatumwa na mfumo Magufuli. Huyo waziri yeye mwenyewe ni zao la mauaji kwenye uchaguzi chini ya Magufuli, sasa sijui ni fedheha gani anaongelea.
 
Bwana Naibu Waziri huna mamlaka ya kuwaagiza Polisi wanaowaweka ninyi CCM madarakani.
 
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Nchi imepoteza uongozi wa haki, mbaya zaidi hata viongozi wa dini wameshindwa kusimama kwenye nafasi zao na wamegeuka kuwa wapambe wa wanasiasa na mifumo kandamizi. mwisho wa siku moral values zimetoweka katika jamii.
Hao wanaopewa jukumu la kukomesha mauwaji ndiyo watuhumiwa wa kwanza wa mauaji mengi hapa nchini. hawana moral credibility ya kusimamia jambo hili.
 
Fedheha haija anza leo.
Vile viroba tulivyo ambiwa vina toka Somalia haikuwa fedheha?
Watu kulala na njaa miezi mitano sio fedheha??

Umekalia maneno ya kijinga ooh viroba viroba, inakusaidia nini kwa mambo ya kale wakati tunajadili mauaji yanayoendelea sasa ni vipi Serikali inatakiwa kuwajibika wewe unakuja Na ngonjera za kijuha
 
Yaani muuaji awe sehemu ya kudhibiti uuaji??.
 
Back
Top Bottom