Naibu Waziri Mkuu atembelea Mradi wa JNHPP asema ndio suluhisho la upatikanaji umeme wa uhakika Nchini

shida wabongo huwa tunapangwa sana, Na huwa wepesi sana kupangika katika hoja za namna hii na ndo maana wakati tunasema ngoja tuone ndo mda ambao watu wanafany mambo yao ya uhakika katika kujinufaisha zaid
 
Suluhu imeshapatwa kwa JNHPP
 
Sijawahi kusikia Makamba akisema hayo.
Hata kama huwahi kumsikia akiongea lakini hiyo kauli ilishawahi kutolewa na mkurugenzi wa shirika kwa baraka za J Makamba kama waziri mwenye dhamana husika

Kauli tata za serikali ndizo zinazopunguza imani ya wananchi

Tazama hizi hapa chini
1. Jumatatu, 29 Februari 2016-GHARAMA ZA UMEME KUSHUSHWA BEI: SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limewasilisha katika Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) maombi ya kushusha bei ya umeme
2. 29 May 2023-
Ewura kuamua bei ya umeme-Mharage Chande:


Wanasiasa ni watu wenye dhuluma na waovu wakubwa wanadanganya wananchi ili wapate kura zao kisha waanze kunufaika wao bila kujali anayelipa hizo gharama ni mwananchi kwa ununuzi wa bidhaa na huduma mbalimbali
 
Naona naye ni Kasuku tu,ni yale yale ya Mwitongo,ni lazima apalilie mapema.Very disgusting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…