Ndio nini sasa ulichoandika mbona mafumbo mengiii"Siyo sawa, aliye mkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini," Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko akizungumza katika Mkutano wa 11 wa kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania uliofanyika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Chanzo: mwananchi_official
Halafu si huyo ambaye anajua chake hakipo tena kuna Wawili hao wanakuvizia kwa Kukuhofia kuwa nao makini mno.
GENTAMYCINE huwa nawaandikia Werevu ( wenye Akili Timamu ) tu kama akina Mwachiluwi na baadhi hapa JF sawa?Ndio nini sasa ulichoandika mbona mafumbo mengiii
Charismatic fella noma sana 😄😄GENTAMYCINE huwa nawaandikia Werevu ( wenye Akili Timamu ) tu kama akina Mwachiluwi na baadhi hapa JF sawa?
Hizi jumbe hua tunaelewa wachache ambao tupo active kwenye habari mtambuka za nchi hiiNdio nini sasa ulichoandika mbona mafumbo mengiii
Na nitakuwa noma daima hapa JamiiForums hadi HATERS wapasuke Misamba yao Kudadadeki. Ukibarikiwa ni Raha.Charismatic fella noma sana 😄😄
Ningeshangaa sana hata Wewe Genius wangu na Mtani wangu usingenielewa kwa haraka hiki nilichokimaanisha hapa.Hizi jumbe hua tunaelewa wachache ambao tupo active kwenye habari mtambuka za nchi hii
Sawa kaka gentaGENTAMYCINE huwa nawaandikia Werevu ( wenye Akili Timamu ) tu kama akina Mwachiluwi na baadhi hapa JF sawa?
Punguza kuandika mashudu"Siyo sawa, aliye mkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini," Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko akizungumza katika Mkutano wa 11 wa kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania uliofanyika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Chanzo: mwananchi_official
Halafu si huyo ambaye anajua chake hakipo tena kuna Wawili hao wanakuvizia kwa Kukuhofia kuwa nao makini mno.
Naeleweka zaidi na Geniuses na siyo Morons wa mfano wako / wenu tafadhali.Ugoro mtupu, andika ueleweke ugoro genius
Naeleweka zaidi na Geniuses na siyo Morons wa mfano wako / wenu tafadhali.Shobo dundo TU.
Full takataka TU
Kazi ni kipimo cha UTU
Naeleweka zaidi na Geniuses na siyo Morons wa mfano wako / wenu tafadhali.Punguza kuandika mashudu
Genius wa pumbaNaeleweka zaidi na Geniuses na siyo Morons wa mfano wako / wenu tafadhali.
"Siyo sawa, anaye/aliyeelewa amfanye yule asiyeelewa naye aelewe". Huo ndio ujumbe wa Naibu Waziri Mkuu.GENTAMYCINE huwa nawaandikia Werevu ( wenye Akili Timamu ) tu kama akina Mwachiluwi na baadhi hapa JF sawa?
Mwenye Followers Milioni Kidogo na bado anawafanya HATERS wake kila Siku wawe wanamsoma na kumfuatilia hapa JF.Genius wa pumba
"Siyo sawa, aliyemkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini," Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza katika Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania uliofanyika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.