johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tundu Lisu alikuwepo?Kidogo Dotto hana mambo ya uchama sn, anghalau ni mtu ambaye anaweza kuongea na mtu yoyote, maza angetuma wale chawa wake wangeishia kumsifia pekee badala ya kutoa hotuba au hoja.
mbona naona sura za mawakili wa serikali hapo wameenda kufanya nini, na hao wote hawatampigia mwabukusi.Kidogo Dotto hana mambo ya uchama sn, anghalau ni mtu ambaye anaweza kuongea na mtu yoyote, maza angetuma wale chawa wake wangeishia kumsifia pekee badala ya kutoa hotuba au hoja.
Jamani naomba kila mmoja hapa JF am- BLOCK huyu rafiki yetu 😀 😀 😀 😀Say NO to Mwambukusi
Unataka kusema Mwabukusi hayupo active?Kwanini wanasheria wa Tanganyika hawapo active kuliko wa Kenya?
Yes alikuwepoTundu Lisu alikuwepo?
Hapana huwa ni mawakili kama watu wengine, wengi hawaipendi systemmbona naona sura za mawakili wa serikali hapo wameenda kufanya nini, na hao wote hawatampigia mwabukusi.
Yaani praise & worship teams wanamwaga sifa kupitiliza!Kidogo Dotto hana mambo ya uchama sn, anghalau ni mtu ambaye anaweza kuongea na mtu yoyote, maza angetuma wale chawa wake wangeishia kumsifia pekee badala ya kutoa hotuba au hoja.
Akitumwa mahala Biteko hauwezi kuwa na wasiwasi ataongea nini kama yule spuka wenu.Kidogo Dotto hana mambo ya uchama sn, anghalau ni mtu ambaye anaweza kuongea na mtu yoyote, maza angetuma wale chawa wake wangeishia kumsifia pekee badala ya kutoa hotuba au hoja.
Inaelekea huyo Mwabu amevuta hisia za waTz kiasi hata huku vjjn naona wamemkubali. Wsws wangu ni chama na serikali kuingilia kw ktumia mbinu mblmbl ktokna na kuamini serkali inatekeleza ilani yao - kwamba kila asasi iitekeleze, hata kama hiyo ilani inayozngmziwa haijulikani au haiku wazi.Vyovyote vile itakavyokuwa Adv Mwabukusi is the Best Candidate so far
Sifa zote hizi anazo Kajunjumele Mwabukusi pekeeContradicting statements kutoka kwa vyanzo vya habari.....View attachment 3059093View attachment 3059095
Wakishaiba lakini ndiyo wanamwaga sifaYaani praise & worship teams wanamwaga sifa kupitiliza!
Yule siyo Spika ni shetani tupuAkitumwa mahala Biteko hauwezi kuwa na wasiwasi ataongea nini kama yule spuka wenu.