Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko acha unafiki wewe unaacha lini siasa?

Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko acha unafiki wewe unaacha lini siasa?

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Tanzania na Afrika kwa ujumla tumekuwa na tabia na tatizo sugu la viongozi wetu kuwa na tabia ya unafiki, ubinafsi, uroho wa madaraka," what they preach is contrary what they are doing" Watanzania tuamka sasa tabia za namna hii tuwe tunazikemea hadhalani, hawezekani kiongozi yeye kaacha taaluma yake na kuja kwenye siasa, mara kazaa viongozi wa Tanzania tumewasikia kauli kama hizi, wakati wao wameacha taaluma zao ,na kuingia kwenye siasa.

Alafu anakuja watanzania tuache siasa eti hawezi kukupa ugali mezani .this is hypocracy. Watoto wenu mnawaandaa kuja kuwa wanasiasa.Alafu huku mnawambia watanzania waache siasa? Ww si ni mwl kwa taaluma Yako? Kwann uliacha uwalimu nakuingia kwenye saisa?( green pasture sio?)

Saizi watanzania wanaelewa which is which? Viongozi wa dini zote ,watanzania wote, Tukemee tabia hii ya unafiki bila kumungunya maneno.
 
Tangu apandishwe Dotto kuwa naibu waziri naona kama MAJARIWA kaufyata
 
Tanzania na Afrika kwa ujumla tumekuwa na tabia na tatizo sugu la viongozi wetu kuwa na tabia ya unafiki, ubinafsi, uroho wa madaraka," what they preach is contrary what they are doing" Watanzania tuamka sasa tabia za namna hii tuwe tunazikemea hadhalani, hawezekani kiongozi yeye kaacha taaluma yake na kuja kwenye siasa, mara kazaa viongozi wa Tanzania tumewasikia kauli kama hizi, wakati wao wameacha taaluma zao ,na kuingia kwenye siasa.

Alafu anakuja watanzania tuache siasa eti hawezi kukupa ugali mezani .this is hypocracy. Watoto wenu mnawaandaa kuja kuwa wanasiasa.Alafu huku mnawambia watanzania waache siasa? Ww si ni mwl kwa taaluma Yako? Kwann uliacha uwalimu nakuingia kwenye saisa?( green pasture sio?)

Saizi watanzania wanaelewa which is which? Viongozi wa dini zote ,watanzania wote, Tukemee tabia hii ya unafiki bila kumungunya maneno.
Wanawajengea ujinga ili waendelee kula kiulani!Wenye kujitambua kama wewe ni wachache,angalia kina Lukasi Mwashambwa wanaimba mapambio ya kusifu hata mochwari
 
Tanzania na Afrika kwa ujumla tumekuwa na tabia na tatizo sugu la viongozi wetu kuwa na tabia ya unafiki, ubinafsi, uroho wa madaraka," what they preach is contrary what they are doing" Watanzania tuamka sasa tabia za namna hii tuwe tunazikemea hadhalani, hawezekani kiongozi yeye kaacha taaluma yake na kuja kwenye siasa, mara kazaa viongozi wa Tanzania tumewasikia kauli kama hizi, wakati wao wameacha taaluma zao ,na kuingia kwenye siasa.

Alafu anakuja watanzania tuache siasa eti hawezi kukupa ugali mezani .this is hypocracy. Watoto wenu mnawaandaa kuja kuwa wanasiasa.Alafu huku mnawambia watanzania waache siasa? Ww si ni mwl kwa taaluma Yako? Kwann uliacha uwalimu nakuingia kwenye saisa?( green pasture sio?)

Saizi watanzania wanaelewa which is which? Viongozi wa dini zote ,watanzania wote, Tukemee tabia hii ya unafiki bila kumungunya maneno.
Yeye anatosha kwa ajili yenu, kkkkkk
 
Huwa nawashangaa sana wanafiki wanaosema hivyo, wao wanaishi kwa siasa alafu wanawaambia wenzao waache siasa.

Mtu kama Dotto akipewa madaraka makubwa anaweza kuwa kama Nkurunzinza. Wanaamini wao tu ndio wenye uwezo wa kufanya jambo, wengine wote waendelee na maisha mengine huko.

Alafu ni UPUMBAVU kudhani kuwa mahitaji pekee ya watanzania ni ugali, huyu mtu ana shida kichwani huyu.
 
Back
Top Bottom