DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ni mshenzi hafai kwenye jamii, apelekwe kwenye gereza la kiume manyampara wakamle kisamvu cha kopo
 
Polisi wamemtesa kijana sasa hivi baada ya Rais kumfuta kazi huyo Mbunge polisi hao hao waliochukua mpunga wa Mbunge wanafanya kazi ya Jamhuri tena kutaka kumhoji Mbunge aliewapelekea mtu wamtese bila maelezo yeyote...
 
Mara nyingi watu wanaofanyiwa unyama wa aina hii unakuta anampanda mtu kichwani kwa kumletea mambo ya ovyo. Hasira zake ndio anamrudishia kwa kutuma watu wafanye unyama wa aina hiyo.

Binafsi I am capable of doing worst if opportunities arises kwa watu kama watatu tu hivi; ipo siku wataingia anga zangu.

Mkuu, kama unauweza UNAFIA, ipo siku nitakupa kazi. Karibu pm tuyajenge
 
Kwa jinsi mambo yalivyo huyu mbunge atakuwa anahaha kusawazisha mambo yaishe hata kwa kutoa mamilioni ya pesa kwa familia ya kijana na wahusika wenyewe

Tunamtaka RPC Manyara, Gekul akae lock up wakati uchunguzi ukiendelea vinginevyo ushahidi utavurugika, usicheze na pesa wewe
 
Kwa jinsi mambo yalivyo huyu mbunge atakuwa anahaha kusawazisha mambo yaishe hata kwa kutoa mamilioni ya pesa kwa familia ya kijana na wahusika wenyewe

Tunamtaka RPC Manyara, Gekul akae lock up wakati uchunguzi ukiendelea vinginevyo ushahidi utavurugika, usicheze na pesa wewe
Unamtaka au sheria inamtaka? Pamoja na tuhuma zake bado kisheria anastahili dhamana. Siku sheria ikipindishwa kwako utajisikiaje?
 
Chanzo: kijana alitumwa kuchukua fingerprint (mchanga + n.k) wakazitumie katika mambo ya ushirikina . awali walimwambia kazi haipo katika hotel akalazimisha anataka aonane na Naibu waziri (mhusika) na boss wa hotel hiyo

Wakamshtukia. Katika kumchukua maelezo Nani kamtuma adhabu za hapa na pale ndio story ikatokea hiyo.

Story ya kutunga tu..
Yaani hata sijakuelewa.


Mkuu hufai kuelekeza mtu[emoji1787]

Hebu andika vizuri,
Kijana gani,nani alitumwa wapi,kazi gani?

Assume sijui chochote kuhusu Gekul na kijana.
 
Kwa jinsi mambo yalivyo huyu mbunge atakuwa anahaha kusawazisha mambo yaishe hata kwa kutoa mamilioni ya pesa kwa familia ya kijana na wahusika wenyewe

Tunamtaka RPC Manyara, Gekul akae lock up wakati uchunguzi ukiendelea vinginevyo ushahidi utavurugika, usicheze na pesa wewe
Tunaishi na watu wenye roho za ajabu sana.


Afikishwe mahakamanj
 
hapo hakuna kesi.. Wana buy muda tu.. hili suala wadau wamelivaa Kama sehemu ya kumkoa Kama aliekuwa mwanachama wa CHADEMA, viongozi wa chadema mmelivaa kweli kweli .. kuondolewa unaibu waziri sio kigezo cha Rais kubaliki hapana.

Siasa ni mchezo mchafu Sana sanaaa sanaaa..
Time will Tell.
Kwa ufupi unasema imetengenezwa
 
Unapenda sana kuwa opposite wewe
Sasa kitendo alichifanya hyo mb ni
Sawa.....
Kuwafanyia madogo kama hao kuwapiga na kuwaingiza chupa mtkoni ni unyama

Ova
Kwa kuwa sheria imechukua mkondo wake, tufanye subira kujua ukweli. Kinachojulikana kwa sasa ni madai tu ya huyo kijana ya kufanyiwa ukatili huo.

Kwangu mimi kuna harufu ya kisiasa kama ilivyotokea kwa Sabaya. Jimbo la Babati linagombewa kama la Hai, kwa kutumia siasa za kuchafuana, kupitia mitandao ya kijamii.
 
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa.

Hashimu Ally anadai, Pauline Gekul alitoa bastola, akamueleza achague kukalia chupa mwenyewe au apigwe risasi na mwili wake wakautupe katika Ziwa Babati. Alipogoma, wakampiga sana, wakamuingizia chupa sehemu ya haja kubwa. ...

Tuamini ni kweli, je, kumtendea huyo kijana hivyo kulikuwa na matarajio gani? Kwamba ni kitendo ambacho hakikufanyika hadharani, labda kwa nia ya kumdharilisha. Lakini kama ilikuwa kutaka kujua ukweli kuhusu kutuhumiwa kufanya uchawi, kwa kitendo hicho, mh!

Isitoshe mwajiri wake wa awali amedai huyo kijana na mwenzake walikuwa kila mwisho wa mwezi wakipokea mishahara hawafiki kazini siku tatu - haaminiki.

Mbali na sheria kuchukua mkondo wake, busara itumike nchi isiwe mhanga wa mitandao ya kijamii kuzusha na kukuza mambo.
 
Kwa kuwa sheria imechukua mkondo wake, tufanye subira kujua ukweli. Kinachojulikana kwa sasa ni madai tu ya huyo kijana ya kufanyiwa ukatili huo.

Kwangu mimi kuna harufu ya kisiasa kama ilivyotokea kwa Sabaya. Jimbo la Babati linagombewa kama la Hai, kwa kutumia siasa za kuchafuana, kupitia mitandao ya kijamii.
Hakuna jimbo lisilogombewa. Yaani mwanasiasa akijichanganya ndo anamalizwa na kupotezwa mazima kisiasa. Tena huyu Gekul kwa kuwa ni mhamiaji ingebidi awe makini zaidi.
 
Nimesikitishwa na unyama uliotendewa huyo kijana. Ninashauri wafuatao nao wawajibike. (1) RPC wa Manyara (2) OCD wa Wilaya ya Babati (3) OCS wa Kituo cha Polisi cha Babati na Maaskari wote waliohusika kumtesa huyo kijana. Inakuwaje kijana anakaa Polisi muda wa siku nne akiteswa siku nne mfululizo bila dhamana. Hao wanatakiwa wafukuzwe kazi mara moja.
Waziri anatumia kituo cha Polisi kutesa raia harafu leo hii wale wale waliofanya uchafu eti wapo kwenye kesi ya Uchunguzi wanachunguza nini hao ndio chanzo kikuu sio kuwa tu kuwajibika wanatakiwa wawepo kwenye kesi ya Ukatili pia...
 
Nimekuwa najiuliza kwanini CCM TAIFA haikumchukulia HATUA za KINIDHAMU Mbunge wake PAULINE GEKUL licha ya Mh. RAIS kutengua UTEUZI wake?
Ninaamini mpaka RAIS anatengua UTEUZI anakuwa amejiridhisha kwa kina SABABU za KUTENGUA niliamini na CCM ilipaswa imwadhibu KICHAMA Mbunge Kama SERIKALI olivyotengua Uteuzi wake kwani ni KASHFA kwa Chama na ili iwe FUNDISHO kwa Wanachama wake.
 
Back
Top Bottom