Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel, kuzungumza na vyombo vya habari leo 11 Februari 2021

Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel, kuzungumza na vyombo vya habari leo 11 Februari 2021

Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.
Mollel ana kipi cha kuongea zaidi ya kujitoa ufahamu?
Kati ya mawaziri wa Jpm ambao hawako kitaaluma ni huyu na boss wake. Huwafanya Watanzania ni wajinga hawana akili.
Akang'oe meno huko aachane na sisi.
 
Ni kweli kabisa, siku zote ndugu Mollel ambae ndie Naibu Waziri wa Afya haelewekagi anavyoongea.

Jana nilivyokuwa nasikiliza taarifa ya habari ya saa 5 usiku kupitia kituo cha Azam TV, mtangazaji Ms. Ivona Kamuntu alijaribu kumuuliza vipi msimamo wa Serikali kuhusu COVID 19. Badala ya kujibu hoja akaanza kuongea vitu visivyoeleweka na ku-dwell sana kumuongelea Tundu Lissu kuwa alivyokuwa anakuja kutoka ugaibuni alivaa barakoa lakini bada ya kutua tu Tanzania akaachana na kuvaa barakoa, eti hata kwenye kampeni zake hakuwa anavaa barakoa.

Huyu Mollel ni mzigo sana, badala ya kuelezea kama alivyoulizwa na mtangazaji yeye anamuongelea mtu.......this is rubbish and shame on him!!!!!
And himself is rubbish not only his words.
 
Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.
Huyu mbuzi ataongea nini?
 
Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.
Huyu mtu ni PhD holder au Ni Dr kwa kusomea. Huwa ninakuomba kama vile hajatulia vile
 
Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.
Hana jipya wala hatusaidii kitu
 
Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.

Kuliko kumsikiliza huyo jamaa, bora niangalie katuni na mwanangu
 
Mgonjwa wa Saikatriki kesi Ame mruhusu kuongea ? Atatumbuliwa na mgonjwa wa saikatriki kesi shauri yake ? .
 
Leo Februari 11 Mwaka huu kuanzia mchana Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Watoto, Daktari Godwin Mollel atazungumza na vyombo habari na matangazo hayo kurushwa mubashara na TBC Taifa kuzungumzia hali ya Afya hapa Nchini kwa ujumla wake.

Mfahamishe ambaye hana taarifa.

Hakuna lolote hapo zaidi ya Propaganda za Jiwe kuhusu Covid-19!!!!
 
Back
Top Bottom