Naibu Waziri wa Afya, Dkt Godwin Mollel, kuzungumza na vyombo vya habari leo 11 Februari 2021

Mollel ana kipi cha kuongea zaidi ya kujitoa ufahamu?
Kati ya mawaziri wa Jpm ambao hawako kitaaluma ni huyu na boss wake. Huwafanya Watanzania ni wajinga hawana akili.
Akang'oe meno huko aachane na sisi.
 
And himself is rubbish not only his words.
 
Huyu mbuzi ataongea nini?
 
Huyu mtu ni PhD holder au Ni Dr kwa kusomea. Huwa ninakuomba kama vile hajatulia vile
 
Hana jipya wala hatusaidii kitu
 

Kuliko kumsikiliza huyo jamaa, bora niangalie katuni na mwanangu
 
Mgonjwa wa Saikatriki kesi Ame mruhusu kuongea ? Atatumbuliwa na mgonjwa wa saikatriki kesi shauri yake ? .
 

Hakuna lolote hapo zaidi ya Propaganda za Jiwe kuhusu Covid-19!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…