vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
Angesoma MD asingeongea hivyo ila kwa kuwa ni DDS wacha aendelee...
Unatania au ndio kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angesoma MD asingeongea hivyo ila kwa kuwa ni DDS wacha aendelee...
Hiyo dds ndio nini?Angesoma MD asingeongea hivyo ila kwa kuwa ni DDS wacha aendelee...
Ushahidi alete humu jf au wapi?Mbona analalamika badala ya kuleta ushahidi wa anachosema na kuiambia nchi kwamba yy amewafanya nini wahusika.....
Nachukulia hayo ni maneno ya mtu mhuni tu........
Kazi ya waziri sio kutuambia malalamiko yake bali kutuambia ametenda nn
Mkuu hata dds anajua......kwasababu anasoma basics na mdAngesoma MD asingeongea hivyo ila kwa kuwa ni DDS wacha aendelee...
Doctor of dental surgery.... Hawa ndio wataalamu wa kinywa na meno. Wanasoma miaka mitano ili kupata degree kama MdHiyo dds ndio nini?
DDS mbona nafahamu ni course ya miaka mitatu tuDoctor of dental surgery.... Hawa ndio wataalamu wa kinywa na meno. Wanasoma miaka mitano ili kupata degree kama Md
Kweli ccm awamu hii imejaza wanasayansi kuliko awamu zoteInawezekana akawa waziri kamili anaonyesha hatakagi Ujinga!
Kwani kaongelea wapi mkuu mbona km hujitambuiUshahidi alete humu jf au wapi?
Anachosema Dr. Moleli ni kweli,zie form za Nhif zinakuwa 3, Blue, Pink na Njano, Blue anapewa mgonjwa, pinky inabaki kwa mtoa huduma na njano inapelekwa nhif, lakini cha ajabu kuna bahadhi ya watoa huduma zile karatasi za njano amazo wanapashwa wabaki nazo wao watoa huduma kwa ajili kumbukumbu zao wao wanafanya kama vifungishio za dawa za wagonjwa badala ya wao kuweka kumbukumbu zao.Naibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.
Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.
Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.
Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Huyu naibu hata September haitafika asipoisifia serikali ataishia kutolewa mapema mno.Huyu jamaa atakuwa makini. Ndio maana hata waliopiga Tundu Lissu aliwafichua. Litakuwa jembe. Sasa Faustine Muda wote alikuwa hajui hata wagonjwa wa malaria wanaandikiwa dawa za kichocho?
Soma source ya taarifa ujue,wewe ndio unajitambua hongeraKwani kaongelea wapi mkuu mbona km hujitambui
Moto upi bwashee?!Kaja na moto
Kuna mwenzake aliingia kwa kuwafungia getini wenzake
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app