Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Mollel aziponda hospitali za Serikali kwa kushindwa hata kujaza fomu za Bima, azifagilia Hospital binafsi kuwa ziko makini

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Mollel aziponda hospitali za Serikali kwa kushindwa hata kujaza fomu za Bima, azifagilia Hospital binafsi kuwa ziko makini

percentage za mapato ya bima hazirudi kwa watoa huduma,acha wavurunde ili wakose wote
 
Ohooo... Mwambieni achunge kauli... Anaponda Serikali tena.
 
Mbona analalamika badala ya kuleta ushahidi wa anachosema na kuiambia nchi kwamba yy amewafanya nini wahusika.....
Nachukulia hayo ni maneno ya mtu mhuni tu........
Kazi ya waziri sio kutuambia malalamiko yake bali kutuambia ametenda nn
Ushahidi alete humu jf au wapi?
 
Inawezekana akawa waziri kamili anaonyesha hatakagi Ujinga!
Kweli ccm awamu hii imejaza wanasayansi kuliko awamu zote
IMG_20200528_212548.jpeg
 
Naibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.

Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.

Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.

Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Anachosema Dr. Moleli ni kweli,zie form za Nhif zinakuwa 3, Blue, Pink na Njano, Blue anapewa mgonjwa, pinky inabaki kwa mtoa huduma na njano inapelekwa nhif, lakini cha ajabu kuna bahadhi ya watoa huduma zile karatasi za njano amazo wanapashwa wabaki nazo wao watoa huduma kwa ajili kumbukumbu zao wao wanafanya kama vifungishio za dawa za wagonjwa badala ya wao kuweka kumbukumbu zao.
 
Huyu jamaa atakuwa makini. Ndio maana hata waliopiga Tundu Lissu aliwafichua. Litakuwa jembe. Sasa Faustine Muda wote alikuwa hajui hata wagonjwa wa malaria wanaandikiwa dawa za kichocho?
Huyu naibu hata September haitafika asipoisifia serikali ataishia kutolewa mapema mno.
 
Nguvu ya soda, hata Lugola allianza kama hivi, mwisho wa siku kawa mpenzi mtazamaji
 
Back
Top Bottom