Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Mollel aziponda hospitali za Serikali kwa kushindwa hata kujaza fomu za Bima, azifagilia Hospital binafsi kuwa ziko makini

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Mollel aziponda hospitali za Serikali kwa kushindwa hata kujaza fomu za Bima, azifagilia Hospital binafsi kuwa ziko makini

Huyu jamaa atakuwa makini. Ndio maana hata waliopiga Tundu Lissu aliwafichua. Litakuwa jembe. Sasa Faustine Muda wote alikuwa hajui hata wagonjwa wa malaria wanaandikiwa dawa za kichocho?
Bendera fuata upepo eee? Hivi angetumbuliwa Ummy ungesema Ummy alikua hajui kua wagonjwa wa malaria wanaandikiwa dawa za kichocho.
Ko unajitahidi kuimba pambio anayoimba Kiongozi wa malaika au sio?
 
Bendera fuata upepo eee? Hivi angetumbuliwa Ummy ungesema Ummy alikua hajui kua wagonjwa wa malaria wanaandikiwa dawa za kichocho.
Ko unajitahidi kuimba pambio anayoimba Kiongozi wa malaika au sio?
Insaniam convertunt.
 
Wewe acha hizo kwa tafiti ipi uliyoifanya au unakurupuka tu!wako lazy nchi ingesonga mbele?wewe kaa kinywa hujui Kuna nn chini ya blanketi
wafanyakazi wa serikalini hawako panctually huu ndio ukweli, ya chini ya blanket hayanihusu nazungumzia matokeo ya ninachokiona. alafu huna uwezo wa kuninyamazisha.
"we dare to talk openly" km slogan ya JamiiForums inavyosema
 
Naibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.

Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.
l

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!


Hongera Naibu Waziri Mollel kazi yako imeonekana. Tayari TAKUKURU wamemdaka huyu Bwanakunu
 
Naibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.

Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.

Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.

Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!


Mwambie aache makelele
 
Back
Top Bottom