Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo jamaa na kipara chake hana jipya.
Kama ni usanii wa watu wa afya unajulikana hata na mwanagu wa miaka 4.
Kama ni usanii wa watu wa afya unajulikana hata na mwanagu wa miaka 4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri mwenye dhamana ya afya ya Watanzania. Lazima ajue kama daktari huwa anakupiga midole inavyotakiwa kama una magonjwa ya zinaa. Hakuna jambo dogo lazima asimamie kila kitu.
Kwani kuna matusi hapo mr Photocopier? Hiyo ni procedure ya kawaida kwa madaktari.Ndio shida yenu watoto wadogo, sasa matus ya nn, kwaiyo hapo unajiona ww ni bonge la mjanja
Kwani kuna matusi hapo mr Photocopier? Hiyo ni procedure ya kawaida kwa madaktari.
Hiyo kitu wala haipo. Mmekosa hoja za msingi.Buku saba inaenda bure
Mmh! UselessNaibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.
Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.
Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.
Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Bado anaipenda chadema. Kuungana na wezi ni kazi kubwa sana.Soon atatumbuliwa inakuaje anakosoa
Wanaungana kimaslaiBado anaipenda chadema. Kuungana na wezi ni kazi kubwa sana.
Kule ukweli hautakiwi? Pili utakiwi kufikiri nje ya fikra za mwenyekiti.Bado anaipenda chadema. Kuungana na wezi ni kazi kubwa sana.
Pongezi kwa Dr Mollel kwa kuliona hili. Hio ni dalili atakuwa waziri mzuriNaibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.
Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.
Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.
Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Haya ndo tunayotaka kuyasikia watanzania siyo kuponda tu upande moja,ponda kokote kunakoboronga ili marekebisho yafanywe.MSD kumekuwa na tuhuma nyingi na kwa miongo mingi.Ufisadi ktk kununua vifaa Tiba na vifaa kinga,na mengine kadha kwa kadha.Taasisi inatakiwa kufanyiwa ukarabati wa hali ya juu vinginevyo work as usual.Naibu waziri wa afya Dr Mollel ameliambia bunge kuwa kwa muda mfupi aliokaa wizsrani amegundua madudu kadhaa katika hospitali binafsi na MSD.
Dkt. Mollel amesema MSD kulifanyika ufisadi wa kutisha na tayari Rais Magufuli alishamtumbua mkuu mkuu wa MSD na kuingiza damu mpya na faili la wabadhirifu liko Takukuru.
Kuhusu goverment hospitals Dr Mollel amesema madaktari wake wanawaandikia dawa za kichocho wagonjwa wa malaria na hivyo kuzusha sintofahamu kwenye taasisi za Bima.
Kwa sababu wanalipwa mishahara na serikali watendaji wa hospitali zetu wanavurunda tu hata kujaza fomu za Bima ya afya hawawezi ndio maana fedha nyingi za Bima zinaenda hospitali binafsi kwa sababu madaktari na watumishi wao ni watu makini na waliojipanga ambao wanajua mishahara yao inatoka kwenye Bima, amesisitiza Dr Mollel.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Hakukimbia ni ujasiriamali mzeeKilichomfanya akimbie Manyara Regional Referral Hospital nini kama siyo hicho anachowaponda wenzake?
Wewe acha hizo kwa tafiti ipi uliyoifanya au unakurupuka tu!wako lazy nchi ingesonga mbele?wewe kaa kinywa hujui Kuna nn chini ya blanketiwafanyakazi wa serikalini wengi wao wako lazy
Hii ni afrika na ni Tz kesi anaifungua wapi.hapa si ulaya Wala marekani mjomba.Mmmh! Jamani madaktari mtadhalilishwa mpaka lini? Huyu NW hayuko kwenye field muda mrefu leo anawambia madaktari wanaandika dawa ya kichocho kwa mgonjwa wa malaria? Is possible? Aweke ushahidi ili mgonjwa aliyefanyiwa hivyo afungue kesi.
Tatizo MD au DDS.point hapa mm naona ni uelewa.unaweza kuwa na makolifikeshenu lkn ukawa Bado ni mzigo tu.Kwani marehemu Sokoine au Nyerere alikuwa na nn but think of their vision.Tunachoangalia ni output but not input ijapokuwa watu husema garbage in garbage out lkn siyo wote wako hivyo.Angesoma MD asingeongea hivyo ila kwa kuwa ni DDS wacha aendelee...
Mwelekezo huyo jamaa naona hayuko making na anachokiandika.Doctor of dental surgery.... Hawa ndio wataalamu wa kinywa na meno. Wanasoma miaka mitano ili kupata degree kama Md
Hahaaaa haiwezekani.Kule ukweli hautakiwi? Pili utakiwi kufikiri nje ya fikra za mwenyekiti.
Tunamuomba juakali aanzie kuhoji ile trn 1.5 na ile ripoti ya msando ya ukaguzi wa Mali za ccm
Km unajua source u aniulizaje tena forum ya kuleta ushahidi?Soma source ya taarifa ujue,wewe ndio unajitambua hongera