Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

.
IMG-20200516-WA0013.jpg
 
Ni kawaida kila baada ya uteuzi kila mtu ongea lake,mara sijui katenguliwa kwa sababu hii ,sijui ile!.Mamlaka ya uteuzi ndio inayojua sababu za kutenguliwa kwa naibu waziri! Kama ambavyo leo tulikua hatujui kama kuna mtu atateuliwa ndivyo hivyo hatujui sababu ya ndugulile kutenguliwa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tweeter ya Ndugulile ya saa 17:03 jion ya leo ndio imegharimu cheo chake cha Naibu Waziri

Ie Tweet ilikuwa anajaribu kuifunga Mdomo Serikal eti isubiri majibu ya Tafiti za Wasomi ndio waamue namna ya ku deal na Covid

Unaibu umeshakwenda, bado Ubunge
Una tengua Naibu unaacha Waziri mwenyewe hii imekaaje

Dark Side

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kanyimwa ulaji, kapewa mwingine..hizi ndio siasa za bongo. Wanasiasa na kujishibisha matumbo ndio wanachokijua
 
Wenye akili ndogo watasaport hii tenguzi..
Msimamo ni muhimu sana kama uko kwenye right truck.
 
Wazir pekee aliyesimama kulinda professional yake!Ilianza suala la kuvaa barakoa,akapinga barakoa za kisiasa,wanasiasa walisema watu wavae matambaa,yeye hakuamini hizo akasimamia barakoa stahik.Ikaja suala la kujivukiza,yeye akapinga halipo kitaalam akisema mvuke unaweza kuathir mfumo wa hewa.Ukimwangalia Mh.Ndugulile alipingana na strategies za serikali ktk kupambana na Corona.Sasa aliteuliwa ndio boya kabisa,japo atakuwa na muda mfupi cdhan angeweza kudumu.
Katika awamu hii nimeshuhudia wateule wote ni wafuata upepo,hakuna hata wazir aliye na uwezo wa kutumia akili yake kutatua tatizo ama kubuni mikakati na hii ndio maana wanajikuta uteuz wao ukitenguliwa.Nchi hii ni ya mtu mmoja tu,wateule inabidi wawe makini sana ktk kazi zao.Kuna watu wanajua kwenda naye,mfano wazir wa mambo ya nje,Tamisemi,elimu,Ulinz n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kawaida kila baada ya uteuzi kila mtu ongea lake,mara sijui katenguliwa kwa sababu hii ,sijui ile!.Mamlaka ya uteuzi ndio inayojua sababu za kutenguliwa kwa naibu waziri! Kama ambavyo leo tulikua hatujui kama kuna mtu atateuliwa ndivyo hivyo hatujui sababu ya ndugulile kutenguliwa!.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini mnapata tabu. Mnapapasa wakati mwenzenu kashatumbua. Mnajifanya mnamjua sana JPM


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazir pekee aliyesimama kulinda professional yake!Ilianza suala la kuvaa barakoa,akapinga barakoa za kisiasa,wanasiasa walisema watu wavae matambaa,yeye hakuamini hizo akasimamia barakoa stahik.Ikaja suala la kujivukiza,yeye akapinga halipo kitaalam akisema mvuke unaweza kuathir mfumo wa hewa.Ukimwangalia Mh.Ndugulile alipingana na strategies za serikali ktk kupambana na Corona.Sasa aliteuliwa ndio boya kabisa,japo atakuwa na muda mfupi cdhan angeweza kudumu.
Katika awamu hii nimeshuhudia wateule wote ni wafuata upepo,hakuna hata wazir aliye na uwezo wa kutumia akili yake kutatua tatizo ama kubuni mikakati na hii ndio maana wanajikuta uteuz wao ukitenguliwa.Nchi hii ni ya mtu mmoja tu,wateule inabidi wawe makini sana ktk kazi zao.Kuna watu wanajua kwenda naye,mfano wazir wa mambo ya nje,Tamisemi,elimu,Ulinz n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kadikteta ketu hako.
 
Back
Top Bottom