Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

😂😂😂 Uwe na popcon kabisa.
 
Washauri wa mkuu ni tatizo aisee..huu ni zaidi ya uzwazwa!
Ni sawa na kumsimamisha kazi general na kumteua corporal kati kati ya vita ni dharau kubwa mno sio kwa raia tu bali hata kwa morale ya wafanyakazi wa afya kipindi hiki ambacho wanahatarisha usalama wao kumuweka mtu atakaekuja kuongea ujinga wakati madokta huko wanajitoa muhanga na hakuna mtu wakuwasemea wanacho deal nacho.
 
Mpendwa Mteja, tunakusihi endelea kujifukiza na kufuata maelekezo ya Wataalam kuhusu namna ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya #CORONAVIRUS. Aidha, tunakushauri kuepuka kusikiliza taarifa zisizo sahihi kutoka vyanzo visivyoaminika
 
Hii imekaa sawa sawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wa vijembe! Ameshakuwa predicted, akitaka kuita press conference ya kujibu vijembe na udaku lazima atumbue mtu na aapishe ili apate attention ya watu na media.
Mulemule..Ni Akili ya Ovyo sana
 
Hivi hii wizara ilikuwa na naibu waziri? Mie nilijua ni kama wizara ya Katiba na Sheria ambayo inawaziri tu. Maana namsikiaga Ummy tu. Huyu Ndungulile alikuwa anahusika na shuguli gani, ili tuone pengo atakaloliacha?
kwa taarifa tu Dr ndungulile ndio alikuwa kichwa kweny wizara si muongeaji ni mtendaji by professional ni daktari haswaa sio wa kuokota PhD kama humjui kaa kimya
 
Ni kweli kabisa, lakini ukumbuke huyo head anasubiri ushauri wa kitaalam kutegemea nini anaongoza. Huoni ni added advantage kama yeye pia anayo professionalism ktk hiyo nyanja..???


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…