Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Mbowe Mugabe yuko ivo!Aibu kubwa sana ! Mungu mtu ukitofautiana naye umekwisha !
😂😂😂 Uwe na popcon kabisa.Jambo zenu ndugu.
Naombeni kujuzwa ratiba ya kesho ya kuapishwa kwa huyu naibu waziri mpya aliyeteuliwa leo.
Sitaki kupitwa hata neno moja kwenye hotuba ya kesho, najua Kuna mabomu na makombora ya hatari yanategemewa kulipuliwa kwenye ukanda wote wa Africa mashariki na kusini.
Naombeni mda stahiki wajumbe, nasisitiza naombeni mda wa ratiba sahihi.
Naongelea kuhusu Coronavirus. Faustine ni Virologist na ni Epidiemologist. Kwa hiyo Covid kama ugonjwa wa mlipuko uliosababishwa na virus ndo eneo lake kabisa. Kosa lake ni kufuata Sayansi.
Usishangae pia akawa yuko "daslamu" si unajua tena masaplaizi.Nimekutana na msafari wa magari ya kichief Kahama nadhani mkulu katoka Geita leo.Atakuwa kalala Dodoma baada ya kuona kigongo cha Kagame.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaa hii jibu sahihi kabisaHukwenda hospital, je ulijuaje kwamba una corona?
Ni sawa na kumsimamisha kazi general na kumteua corporal kati kati ya vita ni dharau kubwa mno sio kwa raia tu bali hata kwa morale ya wafanyakazi wa afya kipindi hiki ambacho wanahatarisha usalama wao kumuweka mtu atakaekuja kuongea ujinga wakati madokta huko wanajitoa muhanga na hakuna mtu wakuwasemea wanacho deal nacho.Washauri wa mkuu ni tatizo aisee..huu ni zaidi ya uzwazwa!
Maisha. Si unajua mishahara ya ma Dr ?Sasa Virologist aliingia kwenye siasa kutafuta nini? He knew the risks
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawaambia na wanaccm wengine kwamba , Shetani hajawahi kuwa na rafiki .Ndungulile alikuwa realistic,tunza taaluma yako Mh. tunakuelewa sana
Hii imekaa sawa sawa..Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.
Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.View attachment 1452150
Kwenye kitabu cha Robert Greene cha 48 rules of power, Rule namba moja inasema never out smart your master. Always make them feel or appear more brilliant than he is. Always make your boss feel intelligent than you.
Ndugu yangu Ndungulile utakua ulisahau hili.
Mulemule..Ni Akili ya Ovyo sanaMzee wa vijembe! Ameshakuwa predicted, akitaka kuita press conference ya kujibu vijembe na udaku lazima atumbue mtu na aapishe ili apate attention ya watu na media.
Ili Iweje?Natamani awafanyie wakenya revenge ya Ku ban Kenya airways...
kwa taarifa tu Dr ndungulile ndio alikuwa kichwa kweny wizara si muongeaji ni mtendaji by professional ni daktari haswaa sio wa kuokota PhD kama humjui kaa kimyaHivi hii wizara ilikuwa na naibu waziri? Mie nilijua ni kama wizara ya Katiba na Sheria ambayo inawaziri tu. Maana namsikiaga Ummy tu. Huyu Ndungulile alikuwa anahusika na shuguli gani, ili tuone pengo atakaloliacha?
Kumbe ufyoko ni kukataa "ukienyeji" wa nyungu,ushirikina na kuwa "mweledi"!!??Ukifanya ufyonko...,you're knocked out
Nisingeweza kuandikakwahiyo mzee baba ukiambiwa andika sentensi moja kwa uliyo yaandika ungesemaje?
Hapo kwenye taaluma, administrative siyo lazima top leader wa organisation flani kuwa mwenye taaluma inayoendana na kile anachokiongoza ndo maana unaona Mwigulu yupo kwenye katiba na sheria japo kasoma uchumi n.k hiyo haina shida.
Sent using Jamii Forums mobile app