residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Naona bavicha mpo mnashambulia uzi kama nyuki huku mkipiga ramli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamwelewa ...unateseka?
Kitafte online mkuu. Andika 48 rules of power utakipata.kitabu maarufu sanaMkuu aisee I love this..nipe jina hicho kitabu
Kwny nchi ya viwanda mkuu.
Kukosoa UPUUZI wa kupiga Nyungu ndiyo kumemponza Dkt Ndugulile, hii nchi bhana
.
Jiwe anaondoa Daktari kwenye wizara ya Afya anamuacha yule layman binti wa kitanga
Kwani yeye ni tabula rasa? ndo maana kuna kamati na managerial boards!Ni kweli kabisa, lakini ukumbuke huyo head anasubiri ushauri wa kitaalam kutegemea nini anaongoza. Huoni ni added advantage kama yeye pia anayo professionalism ktk hiyo nyanja..???
Hizo zilikuwa zama za mawe, boss kama kilaza tunakugalagaza tu.Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.
Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.View attachment 1452150
Kwenye kitabu cha Robert Greene cha 48 rules of power, Rule namba moja inasema never out smart your master. Always make them feel or appear more brilliant than he is. Always make your boss feel intelligent than you.
Ndugu yangu Ndungulile utakua ulisahau hili.
hahaah jamaa anadhani ili mtu uwe mchapakazi ni lazima awe mtu wa kuongea ongea kwenye media or awe mtu wa maneno mengi ya uongo uongo bungeni huku umetoa na kukodoa mimacho kama yule profesa aliyeokotwa jalalanikwa taarifa tu Dr ndungulile ndio alikuwa kichwa kweny wizara si muongeaji ni mtendaji by professional ni daktari haswaa sio wa kuokota PhD kama humjui kaa kimya
Ummy mweupe hawezi tenguliwa... si unajua sisi wasukuma mikokoteni.Naona kwenye wizara kabaki Ummy tu, sasa sijui na yeye siku zake zinahesabika?
Muda mwalimu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiendelea hivi mpk Msukuma,Mlinga,Kibajaji watatua kwny baraza.Jamaa kutengua na kuteua imekuwa kama fashion tu.
Tulikosea mahali 2015
🤣🤣🤣mtoto mweupeee 😜😜Ummy mweupe hawezi tenguliwa... si unajua sisi wasukuma mikokoteni.
Sent using iphone pro max
Agreed.Tuliporuhusu siasa kutawala maisha ndio chanzo Cha matatizo katika dunia hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu mhe.
Ujiuzulu hujipendi? Hukawii kutengenezewa ajali,ugonjwa au majambazi.Ila wanasiasa wa Tanzania muwe mnajiongeza kwanini msianze kujiuzulu kabla ya hizi tenguliwa?
Jiuzulu unamuacha mtu na aibu yake na kukujengea heshima ktk jamii.