Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Ummy vipi mbona anamuacha.
Yaani mule kichwani kwa yule bwana kumejaa sifuri!

Halafu ma CCM wafia chama mpo kwenye chama miaka na miaka vyeo wanapewa chadema aisee mna moyo sana na bado mnakomaa tu mnahisi mtachaguliwa jiongezeni bwana
Hahaha hawa n Kina #Bia Yetu# na #Crimea# hawa nao wanasubir uteuzi kama makada watiifu na hawatateuliwa labda waendelee na nyadhifa zao za Maboli nyumba 10 au Uganga wa Jadi.N mwendo wa makada CDM kula Shavu[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimeumwa Corona na sikwenda hospitalini, nimetumia njia za asili na nimepona.
Hata nikafungua uzi humu kutoa ushuhuda wangu.
Sayansi sio jawabu la kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kinga yako bado iko poa na huna magonjwa yemelezi, LA sivyo saa iz ndugu zako wangekua wanaongea mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona...
Ni kweli labda alitaka sayansi...lakin tutaenda hivi Hadi Lin kuwa watumwa wa sayansi ya west had lini......HUU N UPUMBAVU....Kama kweli ye alitaka sayansi ndo ulikua muda wa wakuhimiza tafiti za ndani ,kufanyia tafiti hizo nyungu...au kuleta dawa inayotokana na miti ya kujfukiza zenye vipmo kitaalamu.......

Huwez kusave nchi kwa akili za kitumwa....nafikir China nao wangekua hivi....bas leo hi wangekua Kama sisi.....They have gone their own way ndo maana wapo hapo leo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli bwana naona ana masihara sana. Ile kamati ya Ummy kumbe Prof. Lyamuya alijiuzulu uenyekiti na akajiondoa kamatini. Serikali hii ni ya ajabu sana sana.

Ndugulile amejiuzulu asitudanganye hapa!
Kwaiyo akijiuzur yy ndo nn...bila yy wengine hawawezi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na "layman" kwenye masuala nyeti harafu mbishi, mjeuri na mwenye ego kubwa kuliko kichwa chake, ni tatizo.

Dr. Ndungulile alipinga huo ujinga wa kupropagate the so called nyungu bila facts (miti ipi, kiasi gani, ujifukize dakika ngapi etc). Pia alipinga mambo ya barakoa za kushona. Kiufupi alikuwa anampa shule Jiwe na kwa Jiwe hilo ni kosa kubwa
Bora kidogo kuliko sifuri....haya kwa akili yako tu ya kawaida nchi hii na uchumi tulionao ungewezesha watu kugawiwa barakoa....kwa viwanda vipi?

Kuzuia nyungu una viwanda vya kutengeneza dawa? Kenya tu iliyotuzid uchumi mara 2 kam c 3 wanashona....ndo option tulionayo ...najua za kushona haziko effective kwenye virus na bacteria...but doble layer atlist inazuia hata mtu akipiga chafya wengine wasipate. So ulitaka nchi ifanyaje?

Huwez tafuta efficiency wakat huna resources .....lazma efficiency iwe below but Bora below kuliko isiwepo kabisa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie watu mbona huwa hata hamfikirii mnapoandika?

Huwezi kusema Ndugulile alimkosoa Rais wakati yeye ndiye alianza kuongea kwa kutokubaliana na kujifukiza kama alivyoshauri Anna Tibaijuka.

Rais alikuja baadae sana ndipo kazungumzia mambo ya kujifukiza.
Kukosoa UPUUZI wa kupiga Nyungu ndiyo kumemponza Dkt Ndugulile, hii nchi bhana
.

Jiwe anaondoa Daktari kwenye wizara ya Afya anamuacha yule layman binti wa kitanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndungulile anasema nyungu zina madhara lakini anasahau kwamba hata hizo dawa anazoziamini yeye toka nchi zilizoendelea zina madhara pia.

Kwangu mimi hakua na faida yoyote kwani ameshindwa kuboresha tulichonacho anabaki kusubiri kuletewa dawa na nchi zilizoendelea ambazo hata wenyewe wana hali mbaya kwa hili.

Akakae kando kidogo ajifunze
 
Jiwe anafanya maamuzi ya kipuuzi sana anatoa wenye taalumu anaweka anawajua yeye bora angemwondoa Ummy Mwalimu hana utalamu hiyo wizara ni kama muuzaji uji ukampeleka kwenye kuuza dawa za mifugo
Chadema mnaumia sana
Huyu mteule mpya nae ni dokta,au umemsahau?
 
Back
Top Bottom