Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Kwa hali hii nahisi kabisa, mwisho wa Ummy Mwalimu umekaribia na mwisho wa Kassim Majaliwa umekaribia pia. Kuanzia November watakuwa wanasugua benchi.

Kama huamini subiri.
 
Wakuuu hiii taarifa ya uteuzi inasema kuwa ni kuanzia tarehe 16 na taarifa haikusema Juu Ya kuapishwa, sasa najiuliza kuwa ameteuliwa na uteuzi wake unaanza tarehe 16 inamaaana anaanza Kazi tarehe 16 kabla ya kuapishwa? Au kaapishwa kimya kimya?

Na Kama kaapishwa kimya kimya basi mzee atakuwa kweli yuko kisiwani kuleeee na ile taarifa ya kigogo kuwa ameona wanahangaika kuseti mitambo itakuwa kweli basi, itakuwa mitambo ilishindikana kusetiwa kule kisiwani basi, Kama wamemwapisha kimya kimya basi mzeee wetu atakuwa kakimbilia kusikofika mitambo ya TV

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona...
Do not go too far in displaying your talents or you might accomplish the opposite; inspire fear and insecurity. Make your master appear more brilliant than they are and you will attain the height of power.

Lakini pia Law ya 47 inasema;
Never appear too Perfect

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roving Journalist,
Pole Daktari. Anza upya kuchanga karata zako kama Mwigulu. Ninakupa mbinu: tukana sana wapinzani hasa CHADEMA. Utapata kofia nyingine ya kukusetiri.
 
Huu uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Sidhani kama Chadema (chama) inahusika kwa namna yoyote kwenye haya mambo..labda maoni ya wanachama.

Ila..(nje ya mada) kuna jambo la kufikirisha..uchaguzi unakaribia sioni mshikamano, mikakati wala amsha amsha za hiki chama muhimu kwa maendeleo ya Tz.
Bila upinzani imara Tanzania itaporomoka.
 
Upinzani upo wa NCCR mageuzi sio hao wahuni wa ufipa. Lengo kubwa ni kufuta Chadema, Tunataka Wapinzani Wazalendo
Sidhani kama Chadema (chama) inahusika kwa namna yoyote kwenye haya mambo..labda maoni ya wanachama...
 
Mheshimiwa Raisi Dr John Pombe Magufuli hajakosea kabisa kutengua uteuzi wa Mheshimiwa Faustine Ndugulile kwa sababu...
Kama wewe ni unatafuta uteuzi ujinga ulioorodhesha hapa ndio umefanya ukakosa nafasi ya Naibu Waziri akapewa Mwarusha wa PhD ya kule mahali.

Kama Waziri hana hata hiyo PhD ungekuwa hata na Form Four usingekosa uteuzi wa kujaza nafasi hiyo lakini hata Mamlaka ya Uteuzi yamekupuuza kwa sababu ya ujinga wako.

Dr Ndugulile is an experienced professional!
 
Hata Rais mwenyewe kungekuwepo taasis ama mtu mmoja mwenye mamlaka ya kumuondoa ofisini tayari angeshamtupia virago kitambo.

Ni muda muafaka kwa wateule kujenga utamaduni wa kuachia ngazi ukiona unapingana na mamlaka ya uteuzi badala ya kusubiri uondolewe,ni heshima.

Ikiwapendeza CCM wauangalie muundo wa utawala wa chama cha ANC.

Je CCM inaweza kumuwajibisha Rais akiwa madarakani kama ANC?
 
Kwa kiwaambia watu wajifukize Magufuli alisababisha vifo vingi ikiwemo vya watu wake wa karibu sana. Swala la kujifukiza kwa mtu mwenye Corona ilikuwa ni kosa kubwa sana na liligharimu wengi.

Nashukuru mimi ni moja ya watu ambao katu sitokuja kumuamini Magufuli hivyo kauli zake au ushauri wake hautokaa uniathiri maana sitokuja kuufuata, never!

Ulikuwa wapi kuwakataza kama ulijua mbadala! Gonjwa geni hili wanajaribu kila wawezavyo kuokoa. Tumia na wewe hiyo nguvu kusisitiza namna ya kujikinga kuliko kumshambulia kwa chuki zako binafsi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom