Hii ni korona au mengineyo ndo yamekuvuruga? Naona unahara wakati hujaombwa choo😎kwa taarifa tu Dr ndungulile ndio alikuwa kichwa kweny wizara si muongeaji ni mtendaji by professional ni daktari haswaa sio wa kuokota PhD kama humjui kaa kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni korona au mengineyo ndo yamekuvuruga? Naona unahara wakati hujaombwa choo😎kwa taarifa tu Dr ndungulile ndio alikuwa kichwa kweny wizara si muongeaji ni mtendaji by professional ni daktari haswaa sio wa kuokota PhD kama humjui kaa kimya
Usimwamini mfanya siasa yeyote!Kwahiyo kina Mbowe wakiongea tusiwaamini?
Sio mbowe tu. Hii ina include hata wa ccm.Kwahiyo kina Mbowe wakiongea tusiwaamini?
Hata wao, uchanganye na zako!Kwahiyo kina Mbowe wakiongea tusiwaamini?
Obviously alikuwa anaeleweka Kwanza ni mwenzetu. Yule mwingine tunaangalia mkia na vitambaa lkn anachokisema hatukisikilizi maana sio chetu.Anayetoa majukumu ndio anajua kwamba unastahili kuondoka au kuendelea kuwepo kwa sababu ana uwezo wa kukufanyia tathmini, jipe muda wa kujua nini kilijiri mpaka akaondolewa.
Binafsi, naamini Ndungulile alijisahau na kujiona ndio msemaji wa wizara kwa kuchukua majukumu ya waziri wake, kwa kuwa tu ana taaluma ya udaktari. Mara nyingi nilikuwa namuona hivyo.
ku compomise viral activity? Iwe extracted zipatikane Vaccines? Wakati tayari ana respiratory depression? Medicine ni ngumu sana?Aliyethibitisha hiyo miti ina impact ya ku compromise viral activity ni nani na kama inafanya kazi iwe extracted zipatikane vaccine....na hili swala la nyungu walitakiwa watumie watu gani yani mtu tayari ni victim ana dyspnoea afu ajifukize wakati tayari ana respiratory depression....medicine ni ngumu sana ila basi tuheshimu tu maamuzi ya mzee wetu.. Nimefikiria kwa sauti kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app