Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tayari yupo live saa sita hiiSaa nane mchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari yupo live saa sita hiiSaa nane mchana
Dr. Ndugulile was sharply critical kwenye ishu za kutumia barakoa za vitambaa na kujifukiza, nafikiri hakufanya consultation ya kutosha na viongozi wake. Wakati nchi ipo kwenye kuhangaika kuhamasisha matumizi ya barakoa na watu wakawa wameshaitikia...
Sawa mama hapo nimekuelewaMaelezo ya ndungulile walikua too general. Wengi waliyapokea kwa uelewa kwamba nyungu sio msaada na ni hatari
Alitakiwa kutoa maelezo yanayoeleweka kuhusu watumiaji wagonjwa na usalama wake. Vinginevyo anaonekana kama wale wanaokataa kuboresha tiba inakopatikana kwa haraka na kusubiria tiba tusiyojua lini itapatikana
Haya mambo ya kutishana tumekatawazwa katika awamu hii ya 5. TUSITISHANE BWANA. Hivi kila mmoja humu akijimwambafy hali ya jf itakuwaje?Kwahiyo kamati ipendekeze naibu aondolewe kisha waziri kamili abaki. Ujue unabishana na mtu mwenye akili na upelelezi wa hali wa juu wa mambo. Ukiona nimeandika kitu usijibu tena utumbo kama huu. Jiondokee kimya kimya.
Tupo na tunaendelea na upigaji wa Nyungu kama kawaida.Hahaha nipo chief, huku kwema kabisa. Vipi wewe?
Ipo wapi ndugu...what's your logical behind exhaust...sio kuweka question marks ambazo ni irrelevant....ku compomise viral activity?
Iwe extracted zipatikane Vaccines?
Wakati tayari ana respiratory depression?
Medicine ni ngumu sana?
Kazi ipo!
Naona hizo sjui steaming zinaua virusi sasa....huwezi kuleta utani wa kujifukiza kwa magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji lakin kuna watu hapa mkuu wanaendeshwa na mihemuko bas haina haja wapelekwe hospitali acha wajikarantini na kujifukiza miarobaini
Mkuu kinachofanya watu tusikitike ni sababu ya kutenguliwa kwake ina ukakasi mkubwa.Kuna jambo la kujifuza hapa, aliondoka Mwigulu, Lugola na yule Mhaya watu wakashangilia sn lakini mbona Ndugulile watu wamesikitika sana?
Dentist.
Nipo pamoja na wewe mkuu, Ndugulile ameacha alama nzuri kwenye utendaji wake ukilinganisha na akina Mwigulu ambao njaa zinafanya washindwe kutumia maarifa wanabaki kusifiaMkuu kinachofanya watu tusikitike ni sababu ya kutenguliwa kwake ina ukakasi mkubwa unajua ifike sehemu tuwe wawazi hakuna mkamilifu hapa na kama mtu anakosa unyenyekevu wa kujifunza kwa wenzake hyo tayari ni ego na majivuno yanayo reflect anguko...
Tupo pamoja Mkuu....Nipo pamoja na wewe mkuu, Ndugulile ameacha alama nzuri kwenye utendaji wake ukilinganisha na akina Mwigulu ambao njaa zinafanya washindwe kutumia maarifa wanabaki kusifia
Ningekuwa Ummy ningetafuta sababu ya kuachia ngazi…….Jiwe habebeki na watu wanaogopa kunajisi taaluma zao
Nimempongeza ndugulile kwa kupokea maamuzi kwa unyenyekevu mkubwa.sio ule ujinga Wa wabunge Wa chadema unaanza kulalama kisa kupokonywa nafasi.unapaswa kushukuru kwa kila jambo
Ndugulile amejiudhuru uwaziri,chuku hiyoNimempongeza ndugulile kwa kupokea maamuzi kwa unyenyekevu mkubwa.sio ule ujinga Wa wabunge Wa chadema unaanza kulalama kisa kupokonywa nafasi.unapaswa kushukuru kwa kila jambo
Atakuwa kaona mbali,bora alijiuzulu kuliko kushiriki mauaji ya kimbaliNdugulile amejiudhuru uwaziri,chuku hiyo