Hahahaha usisahau na sanitaiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha usisahau na sanitaiza
😂😂😂😂😂😂 dah..aisee. Watu mnagubu kinoma yaniMzee wa vijembe! Ameshakuwa predicted, akitaka kuita press conference ya kujibu vijembe na udaku lazima atumbue mtu na aapishe ili apate attention ya watu na media.
Akivaa barakoa siku ya kumuapisha mollel naenda kunya pale nyerere square Dom
Watu wamefika kwenye vitendo wewe unasema wakianza!!Hahahahhahahahahahaha, ndiko tunakoelekea huko, ila Mimi wakianza kurushiana maneno nitamshabikia yuleeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu kubwa sana ! Mungu mtu ukitofautiana naye umekwisha !
Akivaa barakoa siku ya kumuapisha mollel naenda kunya pale nyerere square Dom
Mkuu aisee I love this..nipe jina hicho kitabuNdungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.
Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.View attachment 1452150
Kwenye kitabu cha Robert Greene cha 48 rules of power, Rule namba moja inasema never out smart your master. Always make them feel or appear more brilliant than he is. Always make your boss feel intelligent than you.
Ndugu yangu Ndungulile utakua ulisahau hili.
Umeandika nini msomi!?Alotruliwa dakt by professional.kama hujui ni vyema ukawa kimya tu.
Natamani awafanyie wakenya revenge ya Ku ban Kenya airways...
Endeleeni kumuharibia zaidi huku mkidhani mnapa sifaNdungulile alikua mtu ambaye yuko straight hana mambo ya kupindisha na sikuwahi kumsikia akimsifia mh Rais kwa unafki yeye alikua akijibu au kutoa shule kwa kile alichoulizwa basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika nini msomi!?
Kwendeni zenu na huyo Ndugulile wenu.Hapa kazi tu.Naongelea kuhusu Coronavirus. Faustine ni Virologist na ni Epidiemologist. Kwa hiyo Covid kama ugonjwa wa mlipuko uliosababishwa na virus ndo eneo lake kabisa. Kosa lake ni kufuata Sayansi.
Sijamwelewa ...unateseka?
humtaki wewe na nani, tuondolee upuuzi wako