Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Mheshimiwa Raisi Dr John Pombe Magufuli hajakosea kabisa kutengua uteuzi wa Mheshimiwa Faustine Ndugulile kwa sababu

-Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inampa mamlaka ya kuteua na kutengua...
Sasa yake home msg ni ipi?
 
Jambo zenu ndugu.
Naombeni kujuzwa ratiba ya kesho ya kuapishwa kwa huyu naibu waziri mpya aliyeteuliwa leo.

Sitaki kupitwa hata neno moja kwenye hotuba ya kesho, najua Kuna mabomu na makombora ya hatari yanategemewa kulipuliwa kwenye ukanda wote wa Africa mashariki na kusini.

Naombeni mda stahiki wajumbe, nasisitiza naombeni mda wa ratiba sahihi.
unaweza ukaenda na usirudi

Jr[emoji769]
 
Ndungulile anasema nyungu zina madhara lakini anasahau kwamba hata hizo dawa anazoziamini yeye toka nchi zilizoendelea zina madhara pia. Kwangu mimi hakua na faida yoyote kwani ameshindwa kuboresha tulichonacho anabaki kusubiri kuletewa dawa na nchi zilizoendelea ambazo hata wenyewe wana hali mbaya kwa hili.
Akakae kando kidogo ajifunze
Mama d,Dr faustine alikua sahihi sana huwezi kutumia mvuke yaani vapour kwa victim ambaye tyar ana ugonjwa justification apa ni rahisi kwamba ugonjwa unaathiri mfumo wa upumuaji na moja kati ya dalili ya ugonjwa huu ni dyspnea shida ya upumuaji which with severity inaweza kuhitaji supplemental oxygen.

Haya mweke kwenye mvuke which might compromise the respiratory pathway na kusababisha hypoxemia which is too bad...kwahiyo daktar alikua sahihi kutumia elimu yake kuwanusuru wagonjwa hapa kosa lake ni kumu out smart his matter bas..angeshaur kwa ustaarabu bila ku expose publicaly ingeleta maana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umekurupushwa kwa simu uje hapa Jukwaani kumtetea mungu wenu Jiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe scientific justifications mkuu sio maneno matupu...vapour kwa mtu ambaye ana ugonjwa tayari na moja kati ta typical presentations zake ni shida ya kupumia huwezi kumfukiza utakua unaleta matatizo tu...kama wewe mzima nikikufukiza tu unatoka una respiratory suffocation vp huyu mgonjwa atabaki kweli???...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Never outsmart your master...alisahau hii rule amesimamia passion yake bila kujali itamuathiri kias gani...mzee baba hataki masikhara kabisa@mh raisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndipo penye mawazo huru sana tofauti na mitandao mingine. Hongereni waanzilishi.
20200517_062823.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli bwana naona ana masihara sana. Ile kamati ya Ummy kumbe Prof. Lyamuya alijiuzulu uenyekiti na akajiondoa kamatini. Serikali hii ni ya ajabu sana sana.

Ndugulile amejiuzulu asitudanganye hapa!
...🙄🙄🙄...
Jamaa alikutana na nini huko mpaka akajiuzulu?
 
Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.

Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.View attachment 1452150

Kwenye kitabu cha Robert Greene cha 48 rules of power, Rule namba moja inasema never out smart your master. Always make them feel or appear more brilliant than he is. Always make your boss feel intelligent than you.

Ndugu yangu Ndungulile utakua ulisahau hili.
Mimi ni Mtaalam waTiba za Asili ninamuunga mkono Aliyekuwa Naibu waziri wa Afya alivyo sema kuwa kujifukiza sio njia sahhi ya kuua Virusi vya CoronaVirus. kuna njia sahihi ya kutumia dawa za Asili kuwaua virusi vya corona Virus sio kujifukiza. Kwani Virusi wa Corona wanapoingia mwilini mwa mtu wanaingai katika sehemu 2 za mwili wa binadamu wanaingia kwenye damu aka kwenye mishipa ya damu na kuigandisha Damu na kuharibu mzunguko wa damu na kuuwa kinga za mwili aka White Blood cell.Na njia ingine wanakwenda kuharibu mapafu yako ili usipate kuweza kupumuwa vizuri. sasa ukiwa unajifukiza utawezaje kuwaua hao virusi wa Corona? Njia ya Asili ya kuweza kuwaua hao Virusi upate dawa za kunywa dawa za kuongeza Kinga ya Mwili kama Juisi ya limao, Tangawizi,,Karafuu ,Zaatari na dawa zingine za kuweza kupambana na hivyo Virusi vya Corona Virusi na kuifanya damu isiweze kuganda katika njia yake ya mishipa. Hapo ukiweza kuzitumia hizo dawa utaweza kuwaua hao Virusi wa Corona Virus. Sio kutumia njia ya kujifukiza.Mheshimiwa Raisi Magufuli Washauri wake walimpa ushauri mbaya wa dawa ya asili ya kujifukiza badala ya dawa ya asili ya kunywa ndio itakayo weza kuwaua hao virusi wa CoronaVirus.
 
Back
Top Bottom