Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile atenguliwa, Godwin Mollel achukua nafasi

Sema wewe mkuu mtu amesoma HGL wapi na wapi na sayansi!
Nijuavyo ni kwamba, uwaziri ni nafasi (political position) kwa Tanzania sawa na ilivyo kwa mkuu wa mkoa au wilaya.

Taaluma inahitajika kwa Katibu mkuu wa wizara, kamishna na wakurugenzi wote isipokuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi.
 
Nchi hii haihitaji wanasayansi katika kuongoza wanataka mtu kama Ndugai hutaamini atadumu milele halafu kesho atakuja mlevi mwingine kutuuliza kwanini nchi hii ni maskini wakutupwa.

Wanasayansi waliolipiwa kodi kusoma mpaka Phd wanahimiza kupiga nyungu na vikombe vya babu na sasa msala wamempelekea Mwenyezi Mungu.
 
Nchi hii haihitaji wanasayansi katika kuongoza wanataka mtu kama Ndugai hutaamini atadumu milele halafu kesho atakuja mlevi mwingine kutuuliza kwanini nchi hii ni maskini wakutupwa. Wanasayansi waliolipiwa kodi kusoma mpaka Phd wanahimiza kupiga nyungu na vikombe vya babu na sasa msala wamempelekea Mwenyezi Mungu.
Hakuna mwanasayansi ambaye ni mwanasiasa. Every scientist in politics is a politician not scientist..

Naibu waziri kaonesha udhaifu na ushamba katika game la siasa...
 
Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.

Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.View attachment 1452150

Kwenye kitabu cha Robert Greene cha 48 rules of power, Rule namba moja inasema never out smart your master. Always make them feel or appear more brilliant than he is. Always make your boss feel intelligent than you.

Ndugu yangu Ndungulile utakua ulisahau hili.
Kutokuwa na ushahidi wa kisayansi kwa kutokufanywa utafiti husika hakufanyi njia hizo kutokuwa na faida! Dr. Ndungulile anamtazamo finyu sana juu ya kupambana na corona na virus! Kuna mambo mengi sana bado hatuyajui juu ya virus na njia rahisi za asili za miti dawa! Hivyo kutoa majibu ya mkato kuwa hazisaidii kama alivyokuwa anatoa Ndugulile kuliondoa uhalali wa yy kuwepo ktk nafasi husika! Na kimsingi mm nilikuwa nashangaa kwa nini Magu aliendelea kumwacha kwa muda mrefu kiasi hicho!
Kuna siku alisema..."ukiona daktari ana'prescribe' kwa mgonjwa dawa zaidi ya moja kwa mgonjwa ujue huyo ni mganga wa kienyeji"! Niliposikia hayo nilijua huyu jamaa inawezekana ameacha kuingia clinic kwa miaka mingi sana iliyopita kiasi kwamba amesahau uhalisia!
 
Kutokuwa na ushahidi wa kisayansi kwa kutokufanywa utafiti husika hakufanyi njia hizo kutokuwa na faida! Dr. Ndungulile anamtazamo finyu sana juu ya kupambana na corona na virus! Kuna mambo mengi sana bado hatuyajui juu ya virus na njia rahisi za asili za miti dawa! Hivyo kutoa majibu ya mkato kuwa hazisaidii kama alivyokuwa anatoa Ndugulile kuliondoa uhalali wa yy kuwepo ktk nafasi husika! Na kimsingi mm nilikuwa nashangaa kwa nini Magu aliendelea kumwacha kwa muda mrefu kiasi hicho!
Kuna siku alisema..."ukiona daktari ana'prescribe' kwa mgonjwa dawa zaidi ya moja kwa mgonjwa ujue huyo ni mganga wa kienyeji"! Niliposikia hayo nilijua huyu jamaa inawezekana ameacha kuingia clinic kwa miaka mingi sana iliyopita kiasi kwamba amesahau uhalisia!
Hivi hata shule ulienda kweli?

Virusi wanaondolewaje na mvuke wakati wanaingia kwenye damu? Mvuke unaingia kwenye damu?

Hii nchi ndio maana haitaendelea. Wajinga bado mko wengi sana.
 
Hivi hata shule ulienda kweli?

Virusi wanaondolewaje na mvuke wakati wanaingia kwenye damu? Mvuke unaingia kwenye damu?

Hii nchi ndio maana haitaendelea. Wajinga bado mko wengi sana.
Mvuke unaongeza joto kwenye mwili, ambalo linauchangamsha mwili, pia unaondoa homa ambayo inatumiwa na virusi katika kuumaliza mwili.

Mvuke unatengeneza mazingira ya vitu kama Tangawizi na malimao na vitamin C kufanya kazi kwa urahisi, msiwe watumwa wa elimu za magharibi mpaka mkaikana asili yenu.
 
Mvuke unaongeza joto kwenye mwili, ambalo linauchangamsha mwili, pia unaondoa homa ambayo inatumiwa na virusi katika kuumaliza mwili.

Mvuke unatengeneza mazingira ya vitu kama Tangawizi na malimao na vitamin C kufanya kazi kwa urahisi, msiwe watumwa wa elimu za magharibi mpaka mkaikana asili yenu.
Nimekuuliza swali virus wanakaa kwenye damu huo mvuke inaingiaje kwenye blood stream ili ukaue virusi?

Na kama mvuke unaua virusi kuna haja gani ya kila siku kuomba Marekani itusaidie ARV, si watu wajifukize mvuke ukaue virusi. Maana corona na hiv vyote ni virusi.
 
Nimekuuliza swali virus wanakaa kwenye damu huo mvuke inaingiaje kwenye blood stream ili ukaue virusi?

Na kama mvuke unaua virusi kuna haja gani ya kila siku kuomba Marekani itusaidie ARV, si watu wajifukize mvuke ukaue virusi. Maana corona na hiv vyote ni virusi.
Usichanganye aids na corona mkuu. Aids inasambazwa na zinaa corona inasambazwa hewani na kwa kushikashika sehemu mbalimbali.

Nyungu inaleta joto linalouchangamsha mwili ambao ukipata vitamin c na vitu kama malimao unachangamka zaidi.

Aids sawa na cancer ukipata huponi, corona unapona tena wengi wamepona.
 
Usichanganye aids na corona mkuu. Aids inasambazwa na zinaa corona inasambazwa hewani na kwa kushikashika sehemu mbalimbali.

Nyungu inaleta joto linalouchangamsha mwili ambao ukipata vitamin c na vitu kama malimao unachangamka zaidi.

Aids sawa na cancer ukipata huponi, corona unapona tena wengi wamepona.
Hujajibubswali. Hao virus wawe wa ukimwi au wa corona au wengine wakishaingia mwilini wanaenda kukaa wapi?

Virusi hadi wanasababisha mtu kuumwa au ugonjwa maana yake wameingilia mfumo wa kinga wa mwili na kuudhoofisha.

Sasa niambia mfumo wa kinga wa mwili unakaa kwenye koo au kwenye mapua hadi mvuke uende kuwaua hao virus?
 
Hujajibubswali. Hao virus wawe wa ukimwi au wa corona au wengine wakishaingia mwilini wanaenda kukaa wapi?

Virusi hadi wanasababisha mtu kuumwa au ugonjwa maana yake wameingilia mfumo wa kinga wa mwili na kuudhoofisha.

Sasa niambia mfumo wa kinga wa mwili unakaa kwenye koo au kwenye mapua hadi mvuke uende kuwaua hao virus?
Virus kukaa kwenye damu hakufanyi mchakato wa kujifukiza usiwe na faida. Na sio kwamba unajifukiza ili utibu moja kwa moja corona, unajifukiza ili utibu homa ambazo ukishazitibu unakuwa kwenye mazingira ya kuuchangamsha mwili, kumbuka kuwa virusi vya corona vinajenga mazingira ya mtu kujiona dhaifu na ukienda kulala ndio umekaribisha kifo.

Kujifukiza kunachangamsha mwili, ukichanganya na vitamin C na tangawizi na vyakula vingine kinga ya mwili inaamka na kuwamaliza hao virusi vya corona.
 
Hivi hata shule ulienda kweli?

Virusi wanaondolewaje na mvuke wakati wanaingia kwenye damu? Mvuke unaingia kwenye damu?

Hii nchi ndio maana haitaendelea. Wajinga bado mko wengi sana.
Kweli kama watu wenyewe wanaojiita wasomi wanamitazamo kama yako, basi bado saana! Kama hujui mvuke unatibuje basi kaa kimya, waache wanaoutumia na kupona! Kwani unaweza jua kila kitu ktk dunia hii? Na isitoshe, tiba za asili zilizopendekezwa sio mvuke peke yake! Hayo maswali unayojiuliza ni kwa kuwa hujui, na kama hukijui kitu haimaanishi ni kibaya au hakina faida, au kwamba hakiwezi kutibu! Ngoja leo nisiseme maneno magumu kwako...! Naamini umenielewa!
 
Mvuke unaongeza joto kwenye mwili, ambalo linauchangamsha mwili, pia unaondoa homa ambayo inatumiwa na virusi katika kuumaliza mwili.

Mvuke unatengeneza mazingira ya vitu kama Tangawizi na malimao na vitamin C kufanya kazi kwa urahisi, msiwe watumwa wa elimu za magharibi mpaka mkaikana asili yenu.
Mkuu kuna watu wanapita madarasa bila kuelimika! Wao kila kitu ambacho hakikuwemo kwenye mfumo wa mafunzo yao basi ni cha kishenzi na hakifai! Huu nao ni utumwa wa fikra!
 
Back
Top Bottom