Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

Mara nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Kwa hayo maneno tu inatosha kupiga chini.
 
Mnaweza ona ni ujinga lakin hao wenzetu hiyo ndio ajira yao. Wanaringa kwa magari makubwa, mishahara mikubwa, nyumba nzr na maposho kibao kwa sababu ya huruma ya rais kuamua namuweka nani namtoa nani? Hapo anapalilia kibarua na kuomba huruma zaidi ili aendelee kula matunda.
 
Nchi ilipitia pagumu hapa imagine eti walikuwa ndio wanashauri wananchi namna ya kutibu Covid -19.
IMG_20210512_192750.jpg
IMG_20210512_192750.jpg
2778080_IMG_8549.jpg
images (2).jpg
 
Mara nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Nimekosa cha ku comment. Niwatakieni kazi na siku njema.
 
Kiongozi kma huyu hafai hata kidgo yaaana anaona uwaziri ni kitu cha kutiiii kuliko hata kazi anafanya
 
Back
Top Bottom