Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!


Mbona hueleweki muheshimiwa Sana? Au mbege imezidi kichwani?
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Mbona kama huko sawa
 


nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Unaruhusiwa kuwa mbinafsi au mjinga.

Ukiwa mbinafsi halafu mjinga utaliwa kichwa tu.
 
Viongozi wa namna hii hawatokaa walete maendeleo kwenye nchi... Walamba miguu hawaiwezi kumshaur rais hasa wanapotofautiana hoja!!!
Kazi ni moja kujipendekeza ili kupata kufaidi Kodi zetu, hii inaonesha ubinafsi wahali ya juu yaani hutaki mwingine naye apate nafasi ya kuisaidia nchi unataka wewe tuu usalie sikuzote!! Huu ni ujinga wakiwango cha Sgr....
Wanawake wawili wazanzibari bi zuhura na bi sa100 wanayatetemesha mababa mazima yatanganyika yanayopenda vyeo na ulaji.
 
Nimesikia, sikujua kama anayeongea hizo pumba ni waziri
Huyu si ndiye alikuwa anaita wenzie wajinga? 😳😳😳

Screenshot_20230916_060613_Samsung Internet.jpg
 
Alikuwa mbumge kupitia chadema ...baadae akaunga mkono jitihada za mwendazake raisi akazadiwa unaibu waziri yeye na wenzake..siwataji so full kujikomba ndo serikali tulionayo hakuna weledi ukijikomba unapewa cheo
 
Upuuzi Mtupu Unalala Unawaza Cheo Huku Ukijua Wazi Wazi
Cheo Ni Dhamana!! Kazi Hazifanyiki Sasa
 


nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Yani hili jitu ni jinga mara miamoja kabisa, ndio lilisemaga Bungeni kwa hasira Mbowe ashughulikiwe haraka sana!! Kartika watu wasiojitambua huyu ni kiongozi wao
 
Tatizo watu wenye akili wameachana na siasa na uongozi na hivyo wajinga ndio hufanya maamuzi kwao wajinga na kwa wenye akili wote. Donald Trump.
 
Back
Top Bottom