Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Stupid Morons chawa hawa ndio think Tank wa chama cha > MAMBUZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama huko sawa
Mbona hueleweki muheshimiwa Sana? Au mbege imezidi kichwani?
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Ameongea ukweli; kama Hana ufanisi na amenusurika aseme Nini zaidi ya kumshukuru kiazi mwenzieAmeongea ujinga
Ulitaka kusema alambwe au Mimi ndio fikra zinenda mbali?Siyo akiambiwa alambe viatu tu hata akiambiwa alambe .....ni lazima atalamba.
Unaruhusiwa kuwa mbinafsi au mjinga.
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Mmasai wa kwanza kuwa mjing mjingaNchi ilipitia pagumu hapa imagine eti walikuwa ndio wanashauri wananchi namna ya kutibu Covid -19.View attachment 2750166View attachment 2750166View attachment 2750165 View attachment 2750164
Anamtukuza bi Mkora ili aendelee kupanda V8Yaani umepewa nafas ya kuongea mbele ya hadhara mwanaume mzima unaongea ujinga namna hii?
Huyu si ndiye alikuwa anaita wenzie wajinga? 😳😳😳Nimesikia, sikujua kama anayeongea hizo pumba ni waziri
Hata safarini hatumo mkuu. Tupo tu tumejikalia...Tuna safari ndefu kama nchi
[emoji1787][emoji1787]Nimekosa cha ku comment. Niwatakieni kazi na siku njema.
[emoji2956]Kati ya Manaibu Waziri mizigo ni huyu, hopeless kabisa
[emoji1787][emoji1787]Yaani umepewa nafas ya kuongea mbele ya hadhara mwanaume mzima unaongea ujinga namna hii?
Ccm JamaniWaziri alafu mpumbavu hivi dah
Yani hili jitu ni jinga mara miamoja kabisa, ndio lilisemaga Bungeni kwa hasira Mbowe ashughulikiwe haraka sana!! Kartika watu wasiojitambua huyu ni kiongozi wao
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.
Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"
Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.