Naibu waziri wa maji, Mhandisi Marryprisca Mahundi ni Kiongozi shupavu mfano wa kuigwa

Naibu waziri wa maji, Mhandisi Marryprisca Mahundi ni Kiongozi shupavu mfano wa kuigwa

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Wanajamiiforum habari, Kama kuna viongozi wenye karama ya uongozi duniani ni pamoja Mwanamama Mhandisi Marryprisca Mahundi, Kwanza amejishusha, anafanya kazi bila kuchoka pamoja na Jografia ya nchi yetu lakini bado hachoki kupambanua taifa lake Tanzania.

Zaidi Ni kiongozi anayependa kusikiliza watu na hujibu kwa vitendo hakika wanambeya mmelamba dume kwa kumpata muwakilishi Bora wa wananchi wa Mbeya. Hongera Sana mhe Marryprisca.

Hongera Sana mhe. Rais.
 
Wanajamiiforum habari, Kama kuna viongozi wenye karama ya uongozi duniani ni pamoja Mwanamama Mhandisi Marryprisca Mahundi, Kwanza amejishusha, anafanya kazi bila kuchoka pamoja na Jografia ya nchi yetu lakini bado hachoki kupambanua taifa lake Tanzania.

Zaidi Ni kiongozi anayependa kusikiliza watu na hujibu kwa vitendo hakika wanambeya mmelamba dume kwa kumpata muwakilishi Bora wa wananchi wa Mbeya. Hongera Sana mhe Marryprisca.

Hongera Sana mhe. Rais.
Naunga mkono hoja.
P
 
Wanajamiiforum habari, Kama kuna viongozi wenye karama ya uongozi duniani ni pamoja Mwanamama Mhandisi Marryprisca Mahundi, Kwanza amejishusha, anafanya kazi bila kuchoka pamoja na Jografia ya nchi yetu lakini bado hachoki kupambanua taifa lake Tanzania.

Zaidi Ni kiongozi anayependa kusikiliza watu na hujibu kwa vitendo hakika wanambeya mmelamba dume kwa kumpata muwakilishi Bora wa wananchi wa Mbeya. Hongera Sana mhe Marryprisca.

Hongera Sana mhe. Rais.
UNAMSIFIA AU UNAMHARIBIA???

AKILI ZA KAFULILA HIZI
 
Wanajamiiforum habari, Kama kuna viongozi wenye karama ya uongozi duniani ni pamoja Mwanamama Mhandisi Marryprisca Mahundi, Kwanza amejishusha, anafanya kazi bila kuchoka pamoja na Jografia ya nchi yetu lakini bado hachoki kupambanua taifa lake Tanzania.

Zaidi Ni kiongozi anayependa kusikiliza watu na hujibu kwa vitendo hakika wanambeya mmelamba dume kwa kumpata muwakilishi Bora wa wananchi wa Mbeya. Hongera Sana mhe Marryprisca.

Hongera Sana mhe. Rais.
hivi mahundi ni watu wa mbeya au ruvuma?
 
Back
Top Bottom