Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni na Ramadhani Kailima watinga TAKUKURU kuhojiwa

Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni na Ramadhani Kailima watinga TAKUKURU kuhojiwa

Sikuwahi kuiskia hiyo kauli mkuu. Ninachokumbuka siku ile kwenye ile hafla ya polisi pale kurasini Rais alisema Naibu Waziri alisha achia ngazi kwa kupeleka barua ya kujiuzulu na akawa anamshangaa Kangi kwa ujasiri wa kuhudhuria hafla ile kwani hakutarajia kumkuta pale! Sikumbuki kumsikia akisema amekataa kujiuzulu kwa Masauni
naibu waziri alivoandika barua ya kujiuzuru ndipo alipofanya rais ajue nini kimetokea ndio maana hakusain barua yake ya kujiuzuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kale kajamaa nikasinch haiwezekani mawaziri wamepita watatu huyu simbachawene ni wa nne lakini kenyewe kapo hakapandi uwaziri kamili yule anaonekana ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka katika lile sakata la mkataba wa kununua vifaa vya kuzima moto lililopelekea kutumbuliwa Kangi Lugola na Kamishna Thobias Andengenye, Mheshimiwa Rais Magufuli alisema Naibu Waziri alishaandika barua ya kuachia ngazi mapeema na hata akashangaa Waziri alipataje guts za kuhudhuria kwenye mkutano wake.

Leo nilikua napitia magazeti katika mtandao nikakutana na habari za Masauni akiwaagiza polisi huko Zanzibar kuwaachia kwa dhamana watuhimiwa wenye makosa ya kudhaminika ili kujikinga na maambukizi ya virusi ya korona.

Sikumbuki kusikia kauli ya kumrudisha kwenye nafasi yake lakini nikiri pia sikuwahi kumsikia Mheshimiwa Rais akisema amekubaliana na barua ya kujiuzulu la Masauni

Kwa muktadha huo najiuliza je Bwana Masauni sio miongoni mwa waliofanya kazi ya kum snitch Kangi na Thobias huku ikionekana na yeye naye yupo kwenye hot soup lakini kiuhalisia yeye ndio kauza wenzie?

View attachment 1414743
Aliyejiuzulu ni katibu mkuu wa wizara.

Masauni ndiye aliyepiga filimbi!
 
Nakumbuka katika lile sakata la mkataba wa kununua vifaa vya kuzima moto lililopelekea kutumbuliwa Kangi Lugola na Kamishna Thobias Andengenye, Mheshimiwa Rais Magufuli alisema Naibu Waziri alishaandika barua ya kuachia ngazi mapeema na hata akashangaa Waziri alipataje guts za kuhudhuria kwenye mkutano wake.

Leo nilikua napitia magazeti katika mtandao nikakutana na habari za Masauni akiwaagiza polisi huko Zanzibar kuwaachia kwa dhamana watuhimiwa wenye makosa ya kudhaminika ili kujikinga na maambukizi ya virusi ya korona.

Sikumbuki kusikia kauli ya kumrudisha kwenye nafasi yake lakini nikiri pia sikuwahi kumsikia Mheshimiwa Rais akisema amekubaliana na barua ya kujiuzulu la Masauni

Kwa muktadha huo najiuliza je Bwana Masauni sio miongoni mwa waliofanya kazi ya kum snitch Kangi na Thobias huku ikionekana na yeye naye yupo kwenye hot soup lakini kiuhalisia yeye ndio kauza wenzie?

View attachment 1414743
Kama ni hivyo kazi aliyofanya ni nzuri ama ulitaka pesa ya uma iibwe!!??
 
Sikuwahi kuiskia hiyo kauli mkuu. Ninachokumbuka siku ile kwenye ile hafla ya polisi pale kurasini Rais alisema Naibu Waziri alisha achia ngazi kwa kupeleka barua ya kujiuzulu na akawa anamshangaa Kangi kwa ujasiri wa kuhudhuria hafla ile kwani hakutarajia kumkuta pale! Sikumbuki kumsikia akisema amekataa kujiuzulu kwa Masauni
Basi wewe ndo hukuwa na taarifa zaidi,maana hata hiyo hafla ilifanyika ukonga na wala sio kurasini.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na
Kama ni hivyo kazi aliyofanya ni nzuri ama ulitaka pesa ya uma iibwe!!??
Nakubaliana na wewe mkuu, amefanya kazi nzuri sana na kaweka mbele maslahi ya nchi yake kama kiapo chake kinavyomtaka

Sikua tu na taarifa hiyo, kumbukumbu zangu za mwisho kuhusu Masauni ilikua ni kauli ya Rais kwamba jamaa kaandika barua ya kuachia ngazi, ndio maana hata kwenye ile hafla hakuwepo
 
Mkuu kama utakumbuka vizuri Rais alisema KM alimfuata akamueleza uozo unaoendelea pale Wizarani kuhusiana na huo mkataba na hakutaka kua sehemu ya huo uchafu na akaomba kujiuzulu na Rais akasema atamuheshimu sana kwa uamuzi wake huo

Kuhusu Naibu Waziri, Mheshimiwa alisema tu "Ameshaandika barua ya kujiuzulu na hapa hayupo, nashangaa kukuona hapa Waziri!"

Ila nikiri pia sikumbuki kama katika walioitwa kuhojiwa TAKUKURU na NW alikuwepo
Ulikuwa umelewa mkuu, Rais alisema masauni hakujihusisha na hizo dili
 
mbona Rais alisema Masauni hakuhusika na hiyo dili na yeye ndio aliofanya ajue huu uozo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
 
Mkuu kama utakumbuka vizuri Rais alisema KM alimfuata akamueleza uozo unaoendelea pale Wizarani kuhusiana na huo mkataba na hakutaka kua sehemu ya huo uchafu na akaomba kujiuzulu na Rais akasema atamuheshimu sana kwa uamuzi wake huo

Kuhusu Naibu Waziri, Mheshimiwa alisema tu "Ameshaandika barua ya kujiuzulu na hapa hayupo, nashangaa kukuona hapa Waziri!"

Ila nikiri pia sikumbuki kama katika walioitwa kuhojiwa TAKUKURU na NW alikuwepo
Barua ya kujiuzuru lazima iwe approved na mamlaka za uteuzi vingenevyo kijana anaendelea kupiga kazi kama mzee kakaa kimyaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom