Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Asante kwa taarifa hii mkuu,nimeelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa hii mkuu,nimeelewa
Aliyeandika ni katibu mkuu labda masikio yangu mafupi, tuyaache hayo vipi habari za hukoSuala la umbeya linatoka wapi tena wakati Masauni alishaandika barua ya kujiuzu na hakuna mahali popote ambapo Mheshimiwa Rais alisema hajakubali barua yake ya kujiuzulu?. Unafahamu pia kujua uhalifu unatendeka na kushindwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika ni kosa pia?
Rais amemfanyia favour kuendelea kumuacha hapo. Wanaosema Masauni ndio alikua whistle blower je ilikua ni kabda au baada ya Katibu Mkuu kumueleza Rais?
Nahakikisha navaa gloves, masks(barakoa), nafanya kazi nyingi kutokea home, nahakikisha umbali wa angalau mita moja kutoka mtu mwingine alipo(kasoro wife), nanawa mikono kwa sabuni kila mara na pia na sanitize. Maelekezo yote ya Wizara ya Afya yanafuatwa kwa usahihi kabisa upande wangu, sijui kwako mkuu wanguAliyeandika ni katibu mkuu labda masikio yangu mafupi, tuyaache hayo vipi habari za huko
mnafuata ushauri wa wataalamu kujikinga na corona!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu washaanza kusema ni kitengo wakati..hamna kitu pale...boya tu..mashine ni nyengine!Wala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
Hayo ni yanayoendelea kichwani mwako. Kama aliwachomea utambi kwa nini aliandika barua ya kujiuzulu.Nakumbuka katika lile sakata la mkataba wa kununua vifaa vya kuzima moto lililopelekea kutumbuliwa Kangi Lugola na Kamishna Thobias Andengenye, Mheshimiwa Rais Magufuli alisema Naibu Waziri alishaandika barua ya kuachia ngazi mapeema na hata akashangaa Waziri alipataje guts za kuhudhuria kwenye mkutano wake.
Leo nilikua napitia magazeti katika mtandao nikakutana na habari za Masauni akiwaagiza polisi huko Zanzibar kuwaachia kwa dhamana watuhimiwa wenye makosa ya kudhaminika ili kujikinga na maambukizi ya virusi ya korona.
Sikumbuki kusikia kauli ya kumrudisha kwenye nafasi yake lakini nikiri pia sikuwahi kumsikia Mheshimiwa Rais akisema amekubaliana na barua ya kujiuzulu la Masauni
Kwa muktadha huo najiuliza je Bwana Masauni sio miongoni mwa waliofanya kazi ya kum snitch Kangi na Thobias huku ikionekana na yeye naye yupo kwenye hot soup lakini kiuhalisia yeye ndio kauza wenzie?
View attachment 1414743