Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Kuumbe! Yaani ni hawahawa kina Maalim Seif na Hamad Rashid?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuumbe! Yaani ni hawahawa kina Maalim Seif na Hamad Rashid?!
Hata ukifuatilia TISS wengi ni wapembaKuumbe! Yaani ni hawahawa kina Maalim Seif na Hamad Rashid?!
Halafu wana pose kama vile wapinzani saaaana!!!?😀😀😀
Wala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
hakuna kitu hao kina jussa sijuiHalafu wana pose kama vile wapinzani saaaana!!!?[emoji3][emoji3][emoji3]
Dah! Hatari na nusu
Mi huwa nashangaa siku zote mawaziri au naibu Waziri wenye nasabu kutoka Zanzibar hawaguswi na kashfa za kifisadi ...sijui labda ni wasafi zaidi ya malaikaNakumbuka katika lile sakata la mkataba wa kununua vifaa vya kuzima moto lililopelekea kutumbuliwa Kangi Lugola na Kamishna Thobias Andengenye, Mheshimiwa Rais Magufuli alisema Naibu Waziri alishaandika barua ya kuachia ngazi mapeema na hata akashangaa Waziri alipataje guts za kuhudhuria kwenye mkutano wake.
Leo nilikua napitia magazeti katika mtandao nikakutana na habari za Masauni akiwaagiza polisi huko Zanzibar kuwaachia kwa dhamana watuhimiwa wenye makosa ya kudhaminika ili kujikinga na maambukizi ya virusi ya korona.
Sikumbuki kusikia kauli ya kumrudisha kwenye nafasi yake lakini nikiri pia sikuwahi kumsikia Mheshimiwa Rais akisema amekubaliana na barua ya kujiuzulu la Masauni
Kwa muktadha huo najiuliza je Bwana Masauni sio miongoni mwa waliofanya kazi ya kum snitch Kangi na Thobias huku ikionekana na yeye naye yupo kwenye hot soup lakini kiuhalisia yeye ndio kauza wenzie?
View attachment 1414743
Wazanzibari/ wapemba wana maadili kuliko watanganyikaMi huwa nashangaa siku zote mawaziri au naibu Waziri wenye nasabu kutoka Zanzibar hawaguswi na kashfa za kifisadi ...sijui labda ni wasafi zaidi ya malaika
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wana misimamo thabit katika wanayoyaamini
Ndiyo uache umbeya, utagongwa bure kudandia gari kwa mbeleInawezakana mkuu sikua na taarifa zaidi, ila kukumbuka au kutokumbuka mahali hafla ilipofanyika haikua kiini cha ujumbe huu
Ndiyo hivyo, rais alisema alikuwa anapokea vi memo tu baada ya wakubwa kufanya yao, na akawa anamwambia kwanini hakumtonya rais, unajua wengi hatupendi kusikiliza mpaka mwisho tunakuwa yanaendelea busy for nothing muda woteWala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
Ndiyo hivyo, rais alisema alikuwa anapokea vi memo tu baada ya wakubwa kufanya yao, na akawa anamwambia kwanini hakumtonya rais, unajua wengi hatupendi kusikiliza mpaka mwisho tunakuwa yanaendelea busy for nothing muda wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la umbeya linatoka wapi tena wakati Masauni alishaandika barua ya kujiuzu na hakuna mahali popote ambapo Mheshimiwa Rais alisema hajakubali barua yake ya kujiuzulu?. Unafahamu pia kujua uhalifu unatendeka na kushindwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika ni kosa pia?
Mkuu huyo jamaa unayejibu comment yake yupo sahihi.Sikuwahi kuiskia hiyo kauli mkuu. Ninachokumbuka siku ile kwenye ile hafla ya polisi pale kurasini Rais alisema Naibu Waziri alisha achia ngazi kwa kupeleka barua ya kujiuzulu na akawa anamshangaa Kangi kwa ujasiri wa kuhudhuria hafla ile kwani hakutarajia kumkuta pale! Sikumbuki kumsikia akisema amekataa kujiuzulu kwa Masauni
Huyo alikuwa ni katibu mkuu.Mkuu kama utakumbuka vizuri Rais alisema KM alimfuata akamueleza uozo unaoendelea pale Wizarani kuhusiana na huo mkataba na hakutaka kua sehemu ya huo uchafu na akaomba kujiuzulu na Rais akasema atamuheshimu sana kwa uamuzi wake huo
Kuhusu Naibu Waziri, Mheshimiwa alisema tu "Ameshaandika barua ya kujiuzulu na hapa hayupo, nashangaa kukuona hapa Waziri!"
Ila nikiri pia sikumbuki kama katika walioitwa kuhojiwa TAKUKURU na NW alikuwepo
Nashukuru sana mkuu Sakasaka Mao, nimekuelewa vizuriMkuu huyo jamaa unayejibu comment yake yupo sahihi.
Masauni hajatumbuka wala kutumbuliwa.
Ukitaka ukweli, tafuta clip ya msingi ya ziara hiyo ipo mitandaoni ili kumaliza sintofahamu uliyonayo.
Sent using Jamii Forums mobile app