Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni na Ramadhani Kailima watinga TAKUKURU kuhojiwa

Unaousema ndio ukweli. Katika sakata hili, Masauni alilaumiwa na Rais pia. Siyo yeye tu, hata Naibu Katibu Mkuu (Kailima) pia alilaumiwa na Rais pia. Lakini Masauni na Kailima wameendelea na kazi kama kawaida! Hiki kitu nilijiuliza mwenyewe japo zikuanzisha uzi hapa JF.
Wala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
 
Baada ya wiki boss wa TAKUKURU akaja kwa fujo kuwa upelelez umekimilika hivyo wiki ijayo kangi na mwenzake watafikishwa mahakaman....kkmyaaaaa hadi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa nashangaa siku zote mawaziri au naibu Waziri wenye nasabu kutoka Zanzibar hawaguswi na kashfa za kifisadi ...sijui labda ni wasafi zaidi ya malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wizi hautaisha Africa
Yaani mtu anakataa wizi anaitwa SNITCH really?



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wala siyo Masauni aliyemtonya Rais,kama unakumbuka Rais pia alimlaumu Masauni kwamba alisikia japo hakuhusishwa ila alikaa kimya. Ninaamini kabisa kama jamaa angemtonya Rais moja kwa moja baada ya kusikia angepewa wizara.
Ndiyo hivyo, rais alisema alikuwa anapokea vi memo tu baada ya wakubwa kufanya yao, na akawa anamwambia kwanini hakumtonya rais, unajua wengi hatupendi kusikiliza mpaka mwisho tunakuwa yanaendelea busy for nothing muda wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo uache umbeya, utagongwa bure kudandia gari kwa mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la umbeya linatoka wapi tena wakati Masauni alishaandika barua ya kujiuzu na hakuna mahali popote ambapo Mheshimiwa Rais alisema hajakubali barua yake ya kujiuzulu?. Unafahamu pia kujua uhalifu unatendeka na kushindwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika ni kosa pia?

Rais amemfanyia favour kuendelea kumuacha hapo. Wanaosema Masauni ndio alikua whistle blower je ilikua ni kabda au baada ya Katibu Mkuu kumueleza Rais?
 
Mkuu huyo jamaa unayejibu comment yake yupo sahihi.

Masauni hajatumbuka wala kutumbuliwa.

Ukitaka ukweli, tafuta clip ya msingi ya ziara hiyo ipo mitandaoni ili kumaliza sintofahamu uliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo alikuwa ni katibu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…