ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Mimi ningewashauri wangetengeneza mtandao wa kukusanya kodi kwanza usiwe kila siku uko down walipa kodi wanacheleweshewa huduma na serikali wanachekeweshewa malipo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To control the mass. China walishaanza hili siku nyingi.Ili waibe info zetu kirahisi.
DahNikisoma between the lines kama kuna kitu anataka sema...
Ngoja niunge doti..
China mpaka leo whatsapp imepigwa ban, google na fb nadhan hazipo pia!!
Je tunataka fwata nyayo za china?
Ke haya yote yanawezekana vipi kwenye huu mfumo mbovu wa elimu ambao injinia wa kompyuta hawezi hata kuunda website?
Huyu mtu sio wa kumdharau... kuna kitu kipo!!
NB: JamiiForums ni mtandao wa kitanzania na mpaka sasa una kesi mhakamani iliyo funguliwa na serikali.
Such useless thinking of our time by our own leaders. Kwani Facebook, Twitter, et la zilianzishwa na Serikali au mashirika ya umma!?tuwe na Facebook, Instagram, twitter yetu itafanya uchumi wetu kuwa stable na tutakuwa tumeimarisha usalama wa nchi yetu" Eng. Kundo