nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Mawazo ya kimaskini kitoka kwa mashiki wa akili, magufuli aliwaharibu sana nyie wajinga, wakati huo mnazitaka ARV kwa nguvu sana na mkizikosa mnalia lia sasa kwani hizo zinatengenezwa kwa mtogole?
Mawazo ya kimasikini mbona unakimbilia kupinga mawazo ya mwenzako? kwa hiyo kama chanjo zina matatizo siruhusiwi kutoa maoni yangu? Na hao wazungu unaowatetea kama kweli wangekuwa na nia ya dhati basi wangekwisha kutuletea chanjo ya malaria maana ndio inaongoza kuua tofouti na hii corona ambayo kwetu ni kama mafua tu.Mawazo ya kimaskini kitoka kwa mashiki wa akili, magufuli aliwaharibu sana nyie wajinga, wakati huo mnazitaka ARV kwa nguvu sana na mkizikosa mnalia lia sasa kwani hizo zinatengenezwa kwa mtogole?