Naifurahia sana fani yangu ya upishi

Naifurahia sana fani yangu ya upishi

kwenda21

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
3,423
Reaction score
3,414
Upishi raha sana

JPEG_20200422_095747_308605471.jpg
JPEG_20200422_095834_408512343.jpg
JPEG_20200422_095851_1377307634.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo za kwenye picha huwa sizipendi,napenda zile zinakandwa na kusukuma

Jioni hii nimejaribu tena kupika chapati zimetoka kama kaukau na chumvi haisikiki kabisaaaaa wakati nakumbuka niliweka,last time kabla ya leo niliweka chumvi kidogo lakini nimeshangaa muda wa kula ilikuwa nyingi sana

Siji kupika chapati tena
 
Hizo za kwenye picha huwa sizipendi,napenda zile zinakandwa na kusukuma

Jioni hii nimejaribu tena kupika chapati zimetoka kama kaukau na chumvi haisikiki kabisaaaaa wakati nakumbuka niliweka,last time kabla ya leo niliweka chumvi kidogo lakini nimeshangaa muda wa kula ilikuwa nyingi sana

Siji kupika chapati tena

keep on trying bebe utaweza tu mbona... yawezekana wakati wa kukanda hukuweka mafuta ya kutosha au wakati wa kuchoma ulipunja mafuta au ulizidisha mafuta


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo za kwenye picha huwa sizipendi,napenda zile zinakandwa na kusukuma

Jioni hii nimejaribu tena kupika chapati zimetoka kama kaukau na chumvi haisikiki kabisaaaaa wakati nakumbuka niliweka,last time kabla ya leo niliweka chumvi kidogo lakini nimeshangaa muda wa kula ilikuwa nyingi sana

Siji kupika chapati tena
Unaandaaje mpaka kupika


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom