Naifurahia sana fani yangu ya upishi

Naifurahia sana fani yangu ya upishi

Hizo za kwenye picha huwa sizipendi,napenda zile zinakandwa na kusukuma

Jioni hii nimejaribu tena kupika chapati zimetoka kama kaukau na chumvi haisikiki kabisaaaaa wakati nakumbuka niliweka,last time kabla ya leo niliweka chumvi kidogo lakini nimeshangaa muda wa kula ilikuwa nyingi sana

Siji kupika chapati tena
Njoo na karo ni kufunze

BeautyPlus_20200209185745213_save.jpg
BeautyPlus_20200507100432354_save.jpg
 
Aaah....wewe tutazungumza tu najua tutapatana.
Unaweza nini na nini hadi zinatokea kama kwenye picha hapo?mimi nikiweka picha ya chapati niliyopika ni aibu...ni kama kaukau na lazima chumvi iwe nyingi sana ama iwe kidogo sanaa

Utaniambia means of payment kama nikifanikiwa kuelewa somo
 
Unaweza nini na nini hadi zinatokea kama kwenye picha hapo?mimi nikiweka picha ya chapati niliyopika ni aibu...ni kama kaukau na lazima chumvi iwe nyingi sana ama iwe kidogo sanaa

Utaniambia means of payment kama nikifanikiwa kuelewa somo
Hahaha....

Naweka kila unachoweka mpendwa..... nadhani unapokosea ni kiasi cha chumvi na mafuta wakati unakanda unga.

Unga unatakiwa kukandwa vizuri na uingiliane saana. Na wakati unakanda weka mafuta ya walau ya kutosha ikitegemea na kiasi cha unga.

Kwanini chumvi usiwe unaonja dough? Si unaonja kisha unatema?

Sema hizi chapati za kukaangaa zimepitwa na wakati...siku hizi watu wanasukuma na kubak na zinakuwa tamu balaa ukilinganisha na hizi za kusukuma na kukaanga.
 
keep on trying bebe utaweza tu mbona... yawezekana wakati wa kukanda hukuweka mafuta ya kutosha au wakati wa kuchoma ulipunja mafuta au ulizidisha mafuta


Sent using Jamii Forums mobile app

Chapata kuwa ngumu sana tatzo ni mafuta au maji...?

Mana juzi nmejaribu tatzo Kama ilo limetokea nikahisi labda maji niliweka kidogo...adi naogopa kupika chapata za kusukuma Mana sku ile niliharibu unga wa bimkubwa alimind sanaa
 
Chukua unga wa ngano na maji kiasi kulingana na unga wako,maji yawe ya vugu vugu,weka hamira kama utapenda,miminia unga wako,chumvi kidogo,weka mafuta ya chakula kiasi,then anza kuchanganya changanya mpka uhakikishe hakuna mabonge ya unga.

Pia ukitaka chapati ziwe laini sana pia weka mayai kadhaa..baada ya hapo tengeneze vinyunga anza kukanda kupata umbo la chapati uipendayo. Kisha choma chapati ulizoandaa
Unaandaaje mpaka kupika


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo bado unakaa kwa bi mkubwa?
Chapata kuwa ngumu sana tatzo ni mafuta au maji...?

Mana juzi nmejaribu tatzo Kama ilo limetokea nikahisi labda maji niliweka kidogo...adi naogopa kupika chapata za kusukuma Mana sku ile niliharibu unga wa bimkubwa alimind sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha....

Naweka kila unachoweka mpendwa..... nadhani unapokosea ni kiasi cha chumvi na mafuta wakati unakanda unga.

Unga unatakiwa kukandwa vizuri na uingiliane saana. Na wakati unakanda weka mafuta ya walau ya kutosha ikitegemea na kiasi cha unga.

Kwanini chumvi usiwe unaonja dough? Si unaonja kisha unatema?

Sema hizi chapati za kukaangaa zimepitwa na wakati...siku hizi watu wanasukuma na kubak na zinakuwa tamu balaa ukilinganisha na hizi za kusukuma na kukaanga.

Kiasi kingi cha unga nilichowahi kupika ni nusu kilo...mara nyingi napika robo kilo,sasa hapa sijui natakiwa kuweka chumvi kiasi gani?

Nikionja nikaona chumvi ni nyingi naipunguza kwa namna gani?

Kwenye kukanda inawezekana ikawa ni tatizo kwasababu nikiangalia youtube namna dough inavyokuwa na nikiangalia ya kwangu ni tofauti,za youtube ziko katika namna ya kuvutika hivi while niliyokanda mimi inakuwa inakatika katika....hapa huwa nashindwa kujua tatizo ni uwingi/uchache wa maji na mafuta ama nakosea kwenye kukanda?
 
Hizo za kwenye picha huwa sizipendi,napenda zile zinakandwa na kusukuma

Jioni hii nimejaribu tena kupika chapati zimetoka kama kaukau na chumvi haisikiki kabisaaaaa wakati nakumbuka niliweka,last time kabla ya leo niliweka chumvi kidogo lakini nimeshangaa muda wa kula ilikuwa nyingi sana

Siji kupika chapati tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chapati za kusukuma tamu sana ila tu zina kazi.
 
Na shughuli yake inaelekea kunishinda [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu ukiona mtu anapika hapo inaonekana rahisiiii
Yeah akiwa anapika mwingine ni rahisi sana ila ni kazi siipendi kwakweli.

Zilinisumbua sana hata mimi hadi nilipopata mwalimu mzuri ndio nikaweza. Wanasema chapati ni ukandaji na usiinyime maji na mafuta.
 
Zisiwe nene ili ziive vizuri. Ule ikiwa ya motoooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upishi tu, zaweza kuwa nene(ila si sana) na zikaiva.

Ila mie mtu anipikie tu kupika mwenyewe hata sitaki.
 
Yeah akiwa anapika mwingine ni rahisi sana ila ni kazi siipendi kwakweli.

Zilinisumbua sana hata mimi hadi nilipopata mwalimu mzuri ndio nikaweza. Wanasema chapati ni ukandaji na usiinyime maji na mafuta.

Mimi nikiweka hayo maji ya kutosha naona zinanata mikononi 😂😂😂

Nimekubali tu zoezi la chapati ni gumu
 
Mimi nikiweka hayo maji ya kutosha naona zinanata mikononi [emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekubali tu zoezi la chapati ni gumu
Zikinata inamaana umezidisha maji au haujazikanda zikakandika. Endelea kukanda hadi donge liwe lainiiii.
 
Back
Top Bottom